Mzee wa SUP
Member
- Mar 19, 2012
- 62
- 18
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23,nipo chuo kikuu X mwaka wa pili.
Tatizo langu kubwa ni ukosefu wa kutojiamini mara kwa mara,muda mwingine hata kama nikiwa na watu ambao nimewazidi hadhi i.e elimu,pesa n.k lakini bado sijiamini kabisa!nimejaribu kusoma article mbalimbali za saikolozi{how to improve self-esteem} nazielewa lakini bado naona kama kwangu vimefail kuwa applied.Lakini watu wengi sana wananipenda,wananijali,wananisikiliza,wanapenda kuwa rafiki na mimi..kiujumla hawanidharau hata siku moja!sasa ndugu zangu ebu nipeni ushauri ambao unaweza kufanyiwa kazi kwenye maisha asilia ili na mimi kinitoke hiki kidude cha kutojiamini !!
Tatizo langu kubwa ni ukosefu wa kutojiamini mara kwa mara,muda mwingine hata kama nikiwa na watu ambao nimewazidi hadhi i.e elimu,pesa n.k lakini bado sijiamini kabisa!nimejaribu kusoma article mbalimbali za saikolozi{how to improve self-esteem} nazielewa lakini bado naona kama kwangu vimefail kuwa applied.Lakini watu wengi sana wananipenda,wananijali,wananisikiliza,wanapenda kuwa rafiki na mimi..kiujumla hawanidharau hata siku moja!sasa ndugu zangu ebu nipeni ushauri ambao unaweza kufanyiwa kazi kwenye maisha asilia ili na mimi kinitoke hiki kidude cha kutojiamini !!