KUKOMBOA MZIGO AIRPORT

KUKOMBOA MZIGO AIRPORT

Brown73

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2010
Posts
1,100
Reaction score
682
Habari za kazi ndugu watanzania.
Poleni na majukumu.
Ninaomba kujuzwa jinsi ya kukomboa mzigo hapo airport uliotumwa kutoka Dubai. Mfano nguo. Kuna utaratibu gani inayo fuatwa na malipo Yao yakoje.
Maana kuna ngugu yangu hapo dar es salaam anasunbuliwa kila siku. Na hilo naona ni kwa sababu ya kutojua sheria na njia za kufuatwa
 
Mwambie aende TRA akaulize taratibu.

Huko ndio wanazungusha. Mzigo wenyewe ni nguo, walichukua nguo mmoja ili wakachunguze materials ndio watoe majibu. sasa wanataka 3000 000. Yaani inavyo onekana kuna kiujanja hapowanataka kufanya
 
Mdau swissport wanatunza mizigo tu
Taratibu za malipo hufanywa na tra
1. Doc zote hutumwa tra long room kwa TANSIS SYS

2. Baada ya malipo kutoka utatakiwa kulipia ushuru kulingana na bei ulizo pewa
HAPO lzm ukubali kama kuna uplift kama hakuna basi utalipa kutokana na invoice yako

3. Agent unaye mtumia ndio anatakiwa akuongoze na hakuna malipo ya ushuru utakayo fanya bila kupewa receipt na unaweza kulipia ww mwenyewe bank yyt baada ya kupewa assessment note

4. Malipo ya swissport utayafanya wakati wa kuchukua documents na baada ya kupata release
Kama mzigo una storage
 
Mdau swissport wanatunza mizigo tu
Taratibu za malipo hufanywa na tra
1. Doc zote hutumwa tra long room kwa TANSIS SYS

2. Baada ya malipo kutoka utatakiwa kulipia ushuru kulingana na bei ulizo pewa
HAPO lzm ukubali kama kuna uplift kama hakuna basi utalipa kutokana na invoice yako

3. Agent unaye mtumia ndio anatakiwa akuongoze na hakuna malipo ya ushuru utakayo fanya bila kupewa receipt na unaweza kulipia ww mwenyewe bank yyt baada ya kupewa assessment note

4. Malipo ya swissport utayafanya wakati wa kuchukua documents na baada ya kupata release
Kama mzigo una storage

Nashukuru sana ndugu yangu.
Huo mzigo umetumwa na ndugu yangu huko Dubai, na anaye pokea ni mke Wake hapo Dar. Na sasa amepata usumbufu wa nenda na kurudi kwa siku kama 3 hivi ukitoa hizi siku za weekend,na huyo mama ni mjamzito leo hii akiwa amesha lazwa kwa kujifungua na huku bado mzigo haujatoka. Huku TZ siju tutazungushana hadi lani?? Pammoja na kumpata raisi mali lakini still naona bado kuna watu wanafanya mzaha kwenye kazi zao.
 
Back
Top Bottom