Bongo yakikukuta hakuna hata mtu mmoja atakayekuelewa, watu watasema umejitakia mwenyewe na ukifika Segerea wahuni wanakusubiri watakwambia kaa chini watu wanafikiria murder case zao we umekuja na kesi ya kumtukana bi mkubwa wako. Lazima ushikishwe ukuta.
Kweli hii nchi ndio maana kila mtu anachukua fomu... wananchi poooaaaa kabisa. Shilingi mia kwa lita si ndogo, lkn wameachiwa mjengoni wasemeseme, nao wako busy hao... majimboni! Nani atamtetea mlalahoi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.