RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 58,367
- 131,569
Unampa kishakaji mtu hata humjui umeona tu tangazo JF?!! Kazi kweli kweli.Sorry ungekuwa Arusha ningekupa kishkaji ila kwa hapa town nijuavyo kukodisha mode ya gari hizo ni kwanzia 280,000 tsh
Unampa kishakaji mtu hata humjui umeona tu tangazo JF?!! Kazi kweli kweli.Sorry ungekuwa Arusha ningekupa kishkaji ila kwa hapa town nijuavyo kukodisha mode ya gari hizo ni kwanzia 280,000 tsh
Kizungu, ni Kizungu mkuti!!Mkuu rekebesha kizungu chako., ilitakiwa useme "Explain where you are" na sio "Explain where are you?"
Write your request like a person who has seen books. Explain where are you? When do you need the cars? Which model of BMW and Range Rover you want?
Kwanini isiwezekane? JF nayo ni jamii ya watu kukutana, mwanajamii anaweza kuamua tu kumsaidia mwanajamii mwenzake kufanikisha harusi yake...si lazima wajuane. Alimradi ijulikane harusi inafanyika wapi nyumbani wapi utahitaji kuanzia muda gani mpaka muda gani, uko tayari kujaza mafuta na kumlipa dereva posho, bas!Unampa kishakaji mtu hata humjui umeona tu tangazo JF?!! Kazi kweli kweli.
Unampa kishakaji mtu hata humjui umeona tu tangazo JF?!! Kazi kweli kweli.
Nikujulie wapi. Inisaidie nini? Mbona umepaniki hivyo?Kishkaji sio bure jiongeze wewe unafikiria kwa kutumia kiungo kipi ? Ukishaambiwa unaweka mafuta juwa kuna driver pia
Aaaaa madhara ya watumish hewa na kukosekana kwa mikopo ndio haya unakuja speed kama unanijuwa vile
Nikujulie wapi. Inisaidie nini? Mbona umepaniki hivyo?
Kiingereza shida, Kiswahili shida, Kilugha chetu shida. Sisi ni nani sasa? Ni lugha gani tunayoimudu sawasawa hapa duniani?Hebu rekebisha Kiswahili chako
Unataka kukodisha au unataka kukodi?
Too low.Kisimir
Taste of his own medicineMkuu rekebesha kizungu chako., ilitakiwa useme "Explain where you are" na sio "Explain where are you?"
KuntulationWrite your request like a person who has seen books. Explain where are you? When do you need the cars? Which model of BMW and Range Rover you want?

Nakuona trump katka ubora wakoMkuu rekebesha kizungu chako., ilitakiwa useme "Explain where you are" na sio "Explain where are you?"
Mbona mkuu wewe mwenyewe umeandika Broken ya nguvu.Write your request like a person who has seen books. Explain where are you? When do you need the cars? Which model of BMW and Range Rover you want?
HahahahahKingereza hiyo siyo lugha yetu ilikuja na meli