Kukiri

Nyie ndo mnasababisha watu wawe single maza na wengine kuachika. Sasa una mume wako wa ndoa Ila bado unatamani wengine ambao ulipaswa uwaachie wenzako. Ridhika na ulichonacho
Vitu vingine unatamani nakuviacha.sio kila unachotamani unakichukua.
Kwakua ni mbaya kutamani lakini sio kama watu hawatamani
 
mdada nimeona kuna jamaa kashakuopoa na thread kakuanzishia kabisa, Hongereni
 
Ndo maana watu wanazuia wake zao kufanya kazi
 
mdada nimeona kuna jamaa kashakuopoa na thread kakuanzishia kabisa, Hongereni
😛 😛 😛 ahsante dear friend ayo ni matokeo ya maombi ya mama Rwakatare kweli ukiamini unapendeka bila dalili😀😀😀😀😀 nebuchadnezzer thank you baby kwa kunipenda
 
😛 😛 😛 ahsante dear friend ayo ni matokeo ya maombi ya mama Rwakatare kweli ukiamini unapendeka bila dalili😀😀😀😀😀@nebuchadnezzer thank you baby kwa kunipenda
kipindi hiki kinaruhusu kupendana baridi kama lote
 
Afu sjui mi nikoje, sjawai kupata hisia kwa watu wawili tofauti kwa wakati mmoja, mume yupo, nikutane na kijana sjui mwanaume mwingine nipate hisia za kimapenzi zitoke wapi??? Hata kama ana maudhi kiasi gan khaa au sjui kupenda?? Baby Nebuchadinezzer utapata raha sana ila jitaidi kutafuta pesa 😩 😩 😩 😩 😩 😩
 
Shetani senge sana wewe
 

Attachments

  • VID-20191015-WA0064.mp4
    1.9 MB
Ndiyo maana napata wasiwasi hata kuoa mwakani aisee!

Kumwamini mwanamke ni hatari sana katika maisha ya mwanaume.

Usiposhinda hizo hisia zako kuna
1. Kusaliti ndoa yako
2. Kumharibia kazi kijana huyo
3. Kudharirishwa huyo kijana hasa siku akifumaniwa (Kupigwa au KY ikihusishwa)
4. Kifo kati yako au huyo kijana wa watu.

Ridhika na hali yako na uliyenaye dadangu!
Au hukuona wenzako walivyo wengi na warembo zaidi yako wanavyotafuta pale Mlima wa moto?
 
Huu ndio ugonjwa wa wanawake wengi 'amekua akinisaidia kazi nyingi sanaaa'yaani kitu kidogo kama hicho kinamfanya mama mke wa mtu kutaka kuvua utu wake,kweli hali sio shwari.Sio njaa,maana Mume ni bosi,ila tamaa ya vitu vya kijinga.Na vimisaada vidogo vidogo kama hivyo unakuta mtu kaingia mzima...
 
Endelea na umalaya wako tu..mwanakuyatafuta mwanakuyapata
Kupenda haina maana ndo umekuwa malaya, hapana ni hisia tu ila je utazicontrol vipi? Mtu anaweza akaona au akaolewa lakini bado akatamani wengine hivyo ni swala la mtu mwenyewe kujicontrol. Kwani wanaume kwa siku tunatamani wangapi, si ni wengi, sasa hvyo ni uamuzi wa mtu na sio UMALAYA
 
NAZIDI KUSEMA KUA "SIKU UKIJUA MWANAMKE ANATAKA NINI BASI UNAKARIBIA KUFA "




Cc: Mwenye bikra yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…