Kukimbia na mkopo wa Loan Board

Kukimbia na mkopo wa Loan Board

Umomi

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
677
Reaction score
994
Katika siku za hivi karibuni maisha yamekuwa magumu sana hasa kwa wahitimu wa Elimu ya juu. Ni kawaida kwa muhitimu saivi kumaliza chuo kikuu Kisha akawa msaidizi wa fundi. Swali langu ni kwamba je, kuna uwezekano wa mtu kutoweka kinyamira bila kumaliza chuo?

Naomba nitoe maelezo kwa ufupi. Mimi hii Ni semester ya mwisho na kiangalia niendako baada ya kuhitimu ni kubaya kwani naenda kuendeleza biashara na siyo kuajiriwa.
 
Mkuu ni very very risky.

Hicho kiasi ni kidogo sana, na kukiweka kwenye biashara siyo "guarantee" kwamba kitakutoa.

Idea kibao tunazotoka nazo chuo, tukiziweka mtaani huwa zinakataa then tunatafuta cha kufanya tena kipya.

Hivyo ukipoteza hiyo pesa tayari utakuwa umepoteza vitu viwili.

Nakushauri, Malizia tu hiyo semester hiyo pesa ukipambana huwezi kuikosa mtaani
 
Sana tu mwalimu, ebu maliza shule maisha ya uraiani yapo sana tu, usiwaze kumiliki BMW X5 wakat VITS hujaimudu.

Ukirudi mtaani weka vyeti kwa bag utafute mtaji wa nguvu zako achana na HSLB
Mkuu Ni kweli uwezo wa kutafuta mtaji ninao ila duh! Nimechanganyikiwa sana na hii semester
 
Hii semester ya mwisho inakuwa na mawenge sana kwa finalist.

Wakuu kama una ndugu au mtoto wako yuko mwaka wa mwisho chuoni uwe unamtafuta tafuta kumpa moyo mana vijana tunayopitia ni mazito.
Kweli Kama Mimi ninayopitia saiv n Mungu tu na roho yangu ndo wanafahamu labda huku jf
 
broo ckushaur hata kidog huo upumbav m nmeufany first year ila life linavonipiga mtaani natamani nirud chuo ila siwezi kupata mkop coz nilishakul mkop wote tena wakat npo ktaa with no success now nko hom tu kwa mzaz nmechil nkiwa sin raman
 
Mkuu Ni kweli uwezo wa kutafuta mtaji ninao ila duh! Nimechanganyikiwa sana na hii semester
Basi jitaidi umalize usikatishe shule wakati upo mwisho, unaweza kosa kazi miaka 4 ila ukaja kupata uko mbeleni ata kwa kutia nia CCM,

kazi zipo ila ni chache, huwez jua wapi patakupa wepesi wa maisha elimu or business
 
Back
Top Bottom