BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,257
Wakati mwingine kama hujisikii kuposti ni bora ukasoma na kupita tu mkuu:sorry:
Mkuu umeme kukatika ni hali ya kawaida sn kwa hapa kwetu. Sidhani km kila umeme ukikatika mtu ulalamike ni busara. Lakini ktk hali km hii ya kukatika zaidi ya 24hrs, basi hapo ni tatizo. Tujadili juu ya kukatika kwa umeme na sio kuishia kujadili comments yangu paka lengo la thread husika linapotea