mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Hivi ni mimi peke yangu au hawa Wazee wa 3.75G ya uwongo wameamua kukata Data Service tangu saa Mbili asubuhi leo.
Na kama ni hivyo kwa nini hawatoi taarifa?
Na kama ni hivyo kwa nini hawatoi taarifa?