Kukatika kwa internet ya airtel

mpinga shetani

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
3,236
954
Hivi ni mimi peke yangu au hawa Wazee wa 3.75G ya uwongo wameamua kukata Data Service tangu saa Mbili asubuhi leo.

Na kama ni hivyo kwa nini hawatoi taarifa?
 
With Great Power Comes Great Responsibility.....

Nadhani hawa jamaa wanataka ku-bite more than they can chew..., mpaka sasa service zao zimekuwa value for money ila naogopa hizi promotion zao na kuongeza wateja wasije wakazidiwa na kuanza kutoa poor service...., Ukweli nawaambia watapoteza wateja wote hata wale wazamani..., It does not matter how cheap your service is, if its a non starter what's the use
 
mi nilijua cmu yangu kimeo,
inaboa kiaina ingawa ikiwepo inakua fasta
 
Nilikua Zantel, ghafla wakaleta uzushi kibao nikahamia Airtel..hawa nao uzushi mtupu kila mara inakata...sijui nchi hii ina laana gani kila kitu magumashi...
 
Back
Top Bottom