Kukata Line samsung galaxy S3

Kukata Line samsung galaxy S3

bona

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2009
Posts
3,798
Reaction score
1,444
wanajamvi.... leo nimepata kitu cha S3 hamu yote imeniisha baada ya kuambiwa natakiwa nikate line iweze kuingia... vp napata wasiwasi nisiwe nikawa nimeuziwa feki naomba ushauri kuhusu hili je ni normal kwa wote au mimi tu? na kama mimi tu inamaanisha nini?
 
Hiyo ni ya kweli kaka Samsung S3 na S4 line yake lazima uikate iwe ndogo kuna mashine zake maalumu za kukatia. Hakuna original yenye kuingia line nzima nzima ukiipata hiyo ni feki!!! Hofu ondoa mzee
 
Nenda kwenye ofisi ya line yako watakukatia vizuri tu..shaka ondoa ndio simu za kisasa hizo
 
Dah yangu walinikatia tena SAPNA na wakakosea ikafa kabisa pale pale!!! Nilipata hasira sana. Kama una line ya voda nenda ondoa data za line kama sim contacts halafu nenda Vodacom wanazo line ndogo wanauza nadhani ni 2,500. Ila ujue sasa kama utanunua simu lazima uhakikishe ni ya microchips.
 
Dah yangu walinikatia tena SAPNA na wakakosea ikafa kabisa pale pale!!! Nilipata hasira sana. Kama una line ya voda nenda ondoa data za line kama sim contacts halafu nenda Vodacom wanazo line ndogo wanauza nadhani ni 2,500. Ila ujue sasa kama utanunua simu lazima uhakikishe ni ya microchips.

Pale qualitycenter mimi airtel walinikatia poa tu..maana wanacho kifaa...sa sijui mlimani city jaribu kuwacheki
 
Ingiza hii namba unipe majibu,,,,,*#0*# na hii *#1234*#....zikubali jua ndio original,,,zikikataa jua ni copy ila kuna makubaliano wameweka na samsung,,,,,zote ni nzuri tu,,,swala la line ni sawa lazima ukate ,,unaweza tumia nailcuter,,hakikisha unaondoa kava lote la plastiki na kubakiza zile sehemu zenye rangi ya gold tu,,,
 
Ingiza hii namba unipe majibu,,,,,*#0*# na hii *#1234*#....zikubali jua ndio original,,,zikikataa jua ni copy ila kuna makubaliano wameweka na samsung,,,,,zote ni nzuri tu,,,swala la line ni sawa lazima ukate ,,unaweza tumia nailcuter,,hakikisha unaondoa kava lote la plastiki na kubakiza zile sehemu zenye rangi ya gold tu,,,

kaka s3 inatumia micro sim, unaacha na plastic sema kidogo, iphone ndo zinatumia nano ambazo ndo ndogo zaidi karibia kua shaba tupu
sim_cards.jpg
 
mimi nimekata mwenyewe tena kwa kisu na kuweka kwenye s4 yangu jana. Inapiga mzigo vzr tu.
 
Ingiza hii namba unipe majibu,,,,,*#0*# na hii *#1234*#....zikubali jua ndio original,,,zikikataa jua ni copy ila kuna makubaliano wameweka na samsung,,,,,zote ni nzuri tu,,,swala la line ni sawa lazima ukate ,,unaweza tumia nailcuter,,hakikisha unaondoa kava lote la plastiki na kubakiza zile sehemu zenye rangi ya gold tu,,,

iyo code ya kwanza imekubali iyo ya pili imekua ikisema error
 
waweza kata mwenyewe pia,ila kuwa makini tu na jitahidi kuangalia vizuri shape yake kwanza ndio ukate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom