Kukamatwa na kufunguliwa mashitaka Sabaya kumewagawa CCM. Ama kweli Anguko lao limekaribia

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,711
8,262
Siasa za Tanzania zimeingia patamu sasa. Maelekezo ya chama kwa wateule wake ya kusimamia na kuitekeleza ilani ya chama kwa nguvu zote yameingia shubiri.

Kosa la sabaya la kutumia vibaya madaraka na ofisi ya uma halimuachi mkurugenzi yoyote wa halimashauri na miji wala jiji salama.

Mfano mzuri ni ukwapuaji wa form za wagombea wa upinzani na matumizi ya mabavu kwa wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa 2020.

CCM imefitinika na wanaulizana ni nani aliye msafi? nani wa kumhukumu mwenziye? ama hakika mwanadamu hana kimbilio lingine ila kwa Mungu. "Amelaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
 
Sikumbuki kama niliona kosa la "kutumia madaraka vibaya" kwenye ile hati ya mashtaka ya Sabaya.
 
Sabaya kwa akili na macho ya JPM alikua ni kiongozi bora mno! Na baada ya ile Interview Clouds kama mwendazake angekua hai basi Sabaya angepewa Ukuu wa Mkoa Arusha au Kilimanjaro!

Waunganishwe wote katika kesi hizi waliokuwa accomplice wake wakiwa hai au wafu.
 
Hakuna mtu yeyote anayeweza kutetea uovu awe anatoka chama A au B,muovu ni muovu tu na hatakiwi kutetewa kwasababu ya itikadi yake......
 
Haya mashenzi hata uombe vipi hayawez kugawanyika,utahis yamegawanyika lakin wakshapata mtu wa kuwakilisha chama yanakuwa kitu kimoja tena
 
  • Kicheko
Reactions: tyc
Back
Top Bottom