Kukamatwa na kufunguliwa mashitaka Sabaya kumewagawa CCM. Ama kweli Anguko lao limekaribia

Usinipangie, kwangu mie samia ni dhaifu kwako ni imara.
Kwa dharula iliyotokea hussein mwinyi au majaliwa ndio wangefiti kuongoza hii nchi
Tukitaka Katiba ishughulikiwe mnatukebehi kuwa bado inafaa. Dr Remy alisema 'kifo hauna huruma'
 
Aisee pamoja sikubaliani na udhalimu unaofanyika na CCM Ila kuhusu Sabaya wacha atolewe kafara sababu ya kwake hayahusiani na ofisi aliyokuwa anaitumikia.

Mfano, kutesa watu ili wakupe hela, kubaka, kulawiti, kunyang'anya pesa za wafanyabiashara na kujimilikisha hizo pesa nk haya ni mambo ambayo huwezi kufananisha na wizi wa kura.

Hebu tutumie akili kidogo
Siasa za Tanzania zimeingia patamu sasa. Maelekezo ya chama kwa wateule wake ya kusimamia na kuitekeleza ilani ya chama kwa nguvu zote yameingia shubiri.

Kosa la sabaya la kutumia vibaya madaraka na ofisi ya uma halimuachi mkurugenzi yoyote wa halimashauri na miji wala jiji salama.

Mfano mzuri ni ukwapuaji wa form za wagombea wa upinzani na matumizi ya mabavu kwa wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa 2020.

CCM imefitinika na wanaulizana ni nani aliye msafi? nani wa kumhukumu mwenziye? ama hakika mwanadamu hana kimbilio lingine ila kwa Mungu. "Amelaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
 
Siasa za Tanzania zimeingia patamu sasa. Maelekezo ya chama kwa wateule wake ya kusimamia na kuitekeleza ilani ya chama kwa nguvu zote yameingia shubiri.

Kosa la sabaya la kutumia vibaya madaraka na ofisi ya uma halimuachi mkurugenzi yoyote wa halimashauri na miji wala jiji salama.

Mfano mzuri ni ukwapuaji wa form za wagombea wa upinzani na matumizi ya mabavu kwa wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa 2020.

CCM imefitinika na wanaulizana ni nani aliye msafi? nani wa kumhukumu mwenziye? ama hakika mwanadamu hana kimbilio lingine ila kwa Mungu. "Amelaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
Inaonekana huijui CCM wewe, yaani ccm ianguke kwa sababu ya sabaya.
give me a break
 
Siasa za Tanzania zimeingia patamu sasa. Maelekezo ya chama kwa wateule wake ya kusimamia na kuitekeleza ilani ya chama kwa nguvu zote yameingia shubiri.

Kosa la sabaya la kutumia vibaya madaraka na ofisi ya uma halimuachi mkurugenzi yoyote wa halimashauri na miji wala jiji salama.

Mfano mzuri ni ukwapuaji wa form za wagombea wa upinzani na matumizi ya mabavu kwa wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa 2020.

CCM imefitinika na wanaulizana ni nani aliye msafi? nani wa kumhukumu mwenziye? ama hakika mwanadamu hana kimbilio lingine ila kwa Mungu. "Amelaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
Ccm ina uwezo wa kutupa makapi pembeni hata mtu akiwa nani. Ccm ni chama cha mapinduzi 'revolutionary party' . Kinachukuaga maamuzi yenye maslahi kwa umma hata muda uongozi umepokwa na tabaka la fisadi huweza kuchomoa na kubaki chenye kulinda maslahi ya wavuja jasho...kwa hivyo ni suala la muda tu.
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom