mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,377
- 8,351
Tukitaka Katiba ishughulikiwe mnatukebehi kuwa bado inafaa. Dr Remy alisema 'kifo hauna huruma'Usinipangie, kwangu mie samia ni dhaifu kwako ni imara.
Kwa dharula iliyotokea hussein mwinyi au majaliwa ndio wangefiti kuongoza hii nchi