Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Jana, kulikuwa na taarifa ya kukamatwa na baadaye kuachiwa kwa Wabunge kadhaa wa CHADEMA kwa kile kinachotajwa kutokea tafrani ya kimaneno baina yao na Mbunge wa Viti Maalum-CCM, Juliana Shonza.
Kwa video ninayoiweka hapa chini, Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai aliyakumbuka na kuyasimamia maneno yake hasa yahusuyo kukamatwa kwa Wabunge wakiwa maeneo ya Bunge? Jionee video hii (hasa kuanzia dakika ya 4:12...)
Kwa video ninayoiweka hapa chini, Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai aliyakumbuka na kuyasimamia maneno yake hasa yahusuyo kukamatwa kwa Wabunge wakiwa maeneo ya Bunge? Jionee video hii (hasa kuanzia dakika ya 4:12...)