Hello JF members,
Nimejiuliza muda mrefu kuwa UKAWA tayari ina watu wengi ambao inaonekana kuna uwezekano mkubwa Wa CCM kuangushwa! Najua huku kuna watu walio sehemu nyeti za hii nchi. Je, ikionekana UKAWA wameshinda hii serekali iliyoko madarakani itakabidhi nchi upinzani? Wadau naomba mawazo yenu ila tusisahau mahakama ya "The hague ipo" na inafanya kazi kwa umakini mkubwa sana.
Nimejiuliza muda mrefu kuwa UKAWA tayari ina watu wengi ambao inaonekana kuna uwezekano mkubwa Wa CCM kuangushwa! Najua huku kuna watu walio sehemu nyeti za hii nchi. Je, ikionekana UKAWA wameshinda hii serekali iliyoko madarakani itakabidhi nchi upinzani? Wadau naomba mawazo yenu ila tusisahau mahakama ya "The hague ipo" na inafanya kazi kwa umakini mkubwa sana.