sir doctor
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 291
- 66
Wadau bora IPI kwa maisha ya chuo??????? Kuishi hostel za chuo au kupanga mwenywe out campus?????
chuo gani? mkoa upi?Wadau bora IPI kwa maisha ya chuo??????? Kuishi hostel za chuo au kupanga mwenywe out campus?????
Nimeipenda sana Mkuu God blessChuo Kikuu ni kuwa wewe umekuwa mtu wa kujiamini na unajitambua, wakati mwingine maisha ya kushare vitanda, ndoo za kuogea, vifaa vya chakula, maliwato katika jumuia kubwa kama hiyo si salama sana kwa afya yako kiakili/kisaikolojia na kimwili kwa ujumla, watu wametofautiana hulka. Ila sasa inatulazimu kubakia hostel kwa sababu tu za kiuchumi. Vyuo vingine havina vitanda na hostel za kutosha kwa wanachuo athari yake ni kuwa kitanda cha mtu mmoja wanalala 2 au chumaba cha watu wawili wanakaa vijana sita, hilo lipo vyuo vingi ukanda wa Dar es Salaam.
Sasa ukiwa unajiweza kiuchumi basi tafuta room mtaani lipia, weka ratiba yako vizuri na pangilia mambo yako vizuri uanze kukua kifikra kwani boom likianza sio tu kununua simu na subwoofer basi fikiria kuwekeza mtaji utakaokusaidia siku ukidisco na kurudi mtaani au ukimaliza masomo, jibajeti mwenyewe matumizi, ukijitahidi limbikiza vijisent vyako mwisho wa siku nunua bajaji weka kijiweni huku kitabu kinasonga mbele.
Mfano: kwa miezi miwili meal and acomodation mnapewa 450,000/= sasa ukiwa hostel bajeti yako iko hivi, asubuhi chai ni 1000/= mchana lunch ni 1500 +500 maji, jioni dinner 1500+ maji. Jumla kwa siku 5000/= kadrio la chini, kwa mwezi 150,000/= Sasa ukiwa peke yako umepanga somewhre kwa chakula tu permonth haifiki hiyo laki na hamsini, na unajikuta katika boom lako unasave pesa kibao ili mradi uwe na akili ya matumizi ya pesa.
Zamani tulifikiri ukifika UNIVERSITY ndio mwisho wa yote we ni kuku mrija tu la hasha maisha sasahivi ni ya kusoma namba kila kona. Nakushauri katumie muda wako na rasirimali za mikopo vizuri, ujiinue kimaisha na ujue kuwasaidia wadogo na ndugu zako uliowaacha kijijini.
St john dodomachuo gani? mkoa upi?
kama una mpango wa kutumia boom vizuri ili kuwekeza kwenye viujasiria mali vidogovidogo vije vikusaidie ukihitimu chuo hebu kapange chumba! ila kama kama. unapenda mauzo sana na kumiliki wanawake na kumiliki smartphone mbilimbili nenda hostel....St john dodoma
Daah kwl kaka umeongeaaChuo Kikuu ni kuwa wewe umekuwa mtu wa kujiamini na unajitambua, wakati mwingine maisha ya kushare vitanda, ndoo za kuogea, vifaa vya chakula, maliwato katika jumuia kubwa kama hiyo si salama sana kwa afya yako kiakili/kisaikolojia na kimwili kwa ujumla, watu wametofautiana hulka. Ila sasa inatulazimu kubakia hostel kwa sababu tu za kiuchumi. Vyuo vingine havina vitanda na hostel za kutosha kwa wanachuo athari yake ni kuwa kitanda cha mtu mmoja wanalala 2 au chumaba cha watu wawili wanakaa vijana sita, hilo lipo vyuo vingi ukanda wa Dar es Salaam.
Sasa ukiwa unajiweza kiuchumi basi tafuta room mtaani lipia, weka ratiba yako vizuri na pangilia mambo yako vizuri uanze kukua kifikra kwani boom likianza sio tu kununua simu na subwoofer basi fikiria kuwekeza mtaji utakaokusaidia siku ukidisco na kurudi mtaani au ukimaliza masomo, jibajeti mwenyewe matumizi, ukijitahidi limbikiza vijisent vyako mwisho wa siku nunua bajaji weka kijiweni huku kitabu kinasonga mbele.
Mfano: kwa miezi miwili meal and acomodation mnapewa 450,000/= sasa ukiwa hostel bajeti yako iko hivi, asubuhi chai ni 1000/= mchana lunch ni 1500 +500 maji, jioni dinner 1500+ maji. Jumla kwa siku 5000/= kadrio la chini, kwa mwezi 150,000/= Sasa ukiwa peke yako umepanga somewhre kwa chakula tu permonth haifiki hiyo laki na hamsini, na unajikuta katika boom lako unasave pesa kibao ili mradi uwe na akili ya matumizi ya pesa.
Zamani tulifikiri ukifika UNIVERSITY ndio mwisho wa yote we ni kuku mrija tu la hasha maisha sasahivi ni ya kusoma namba kila kona. Nakushauri katumie muda wako na rasirimali za mikopo vizuri, ujiinue kimaisha na ujue kuwasaidia wadogo na ndugu zako uliowaacha kijijini.
Chuo Kikuu ni kuwa wewe umekuwa mtu wa kujiamini na unajitambua, wakati mwingine maisha ya kushare vitanda, ndoo za kuogea, vifaa vya chakula, maliwato katika jumuia kubwa kama hiyo si salama sana kwa afya yako kiakili/kisaikolojia na kimwili kwa ujumla, watu wametofautiana hulka. Ila sasa inatulazimu kubakia hostel kwa sababu tu za kiuchumi. Vyuo vingine havina vitanda na hostel za kutosha kwa wanachuo athari yake ni kuwa kitanda cha mtu mmoja wanalala 2 au chumaba cha watu wawili wanakaa vijana sita, hilo lipo vyuo vingi ukanda wa Dar es Salaam.
Sasa ukiwa unajiweza kiuchumi basi tafuta room mtaani lipia, weka ratiba yako vizuri na pangilia mambo yako vizuri uanze kukua kifikra kwani boom likianza sio tu kununua simu na subwoofer basi fikiria kuwekeza mtaji utakaokusaidia siku ukidisco na kurudi mtaani au ukimaliza masomo, jibajeti mwenyewe matumizi, ukijitahidi limbikiza vijisent vyako mwisho wa siku nunua bajaji weka kijiweni huku kitabu kinasonga mbele.
Mfano: kwa miezi miwili meal and acomodation mnapewa 450,000/= sasa ukiwa hostel bajeti yako iko hivi, asubuhi chai ni 1000/= mchana lunch ni 1500 +500 maji, jioni dinner 1500+ maji. Jumla kwa siku 5000/= kadrio la chini, kwa mwezi 150,000/= Sasa ukiwa peke yako umepanga somewhre kwa chakula tu permonth haifiki hiyo laki na hamsini, na unajikuta katika boom lako unasave pesa kibao ili mradi uwe na akili ya matumizi ya pesa.
Zamani tulifikiri ukifika UNIVERSITY ndio mwisho wa yote we ni kuku mrija tu la hasha maisha sasahivi ni ya kusoma namba kila kona. Nakushauri katumie muda wako na rasirimali za mikopo vizuri, ujiinue kimaisha na ujue kuwasaidia wadogo na ndugu zako uliowaacha kijijini.
Vyuo vilivyo vingi huwa wanatoa kipaumbele kwa mwaka wa kwanza kupata hosteli za chuoHivi ni kila Chuo kina hostel na ukitaka kuwahi hostel unawahi chuo au inakuwaje?
Duuuh brother umesema kitu kinaeleweka sana isee, respect!!!!!!!!!!!!!!Chuo Kikuu ni kuwa wewe umekuwa mtu wa kujiamini na unajitambua, wakati mwingine maisha ya kushare vitanda, ndoo za kuogea, vifaa vya chakula, maliwato katika jumuia kubwa kama hiyo si salama sana kwa afya yako kiakili/kisaikolojia na kimwili kwa ujumla, watu wametofautiana hulka. Ila sasa inatulazimu kubakia hostel kwa sababu tu za kiuchumi. Vyuo vingine havina vitanda na hostel za kutosha kwa wanachuo athari yake ni kuwa kitanda cha mtu mmoja wanalala 2 au chumaba cha watu wawili wanakaa vijana sita, hilo lipo vyuo vingi ukanda wa Dar es Salaam.
Sasa ukiwa unajiweza kiuchumi basi tafuta room mtaani lipia, weka ratiba yako vizuri na pangilia mambo yako vizuri uanze kukua kifikra kwani boom likianza sio tu kununua simu na subwoofer basi fikiria kuwekeza mtaji utakaokusaidia siku ukidisco na kurudi mtaani au ukimaliza masomo, jibajeti mwenyewe matumizi, ukijitahidi limbikiza vijisent vyako mwisho wa siku nunua bajaji weka kijiweni huku kitabu kinasonga mbele.
Mfano: kwa miezi miwili meal and acomodation mnapewa 450,000/= sasa ukiwa hostel bajeti yako iko hivi, asubuhi chai ni 1000/= mchana lunch ni 1500 +500 maji, jioni dinner 1500+ maji. Jumla kwa siku 5000/= kadrio la chini, kwa mwezi 150,000/= Sasa ukiwa peke yako umepanga somewhre kwa chakula tu permonth haifiki hiyo laki na hamsini, na unajikuta katika boom lako unasave pesa kibao ili mradi uwe na akili ya matumizi ya pesa.
Zamani tulifikiri ukifika UNIVERSITY ndio mwisho wa yote we ni kuku mrija tu la hasha maisha sasahivi ni ya kusoma namba kila kona. Nakushauri katumie muda wako na rasirimali za mikopo vizuri, ujiinue kimaisha na ujue kuwasaidia wadogo na ndugu zako uliowaacha kijijini.
PerfectChuo Kikuu ni kuwa wewe umekuwa mtu wa kujiamini na unajitambua, wakati mwingine maisha ya kushare vitanda, ndoo za kuogea, vifaa vya chakula, maliwato katika jumuia kubwa kama hiyo si salama sana kwa afya yako kiakili/kisaikolojia na kimwili kwa ujumla, watu wametofautiana hulka. Ila sasa inatulazimu kubakia hostel kwa sababu tu za kiuchumi. Vyuo vingine havina vitanda na hostel za kutosha kwa wanachuo athari yake ni kuwa kitanda cha mtu mmoja wanalala 2 au chumaba cha watu wawili wanakaa vijana sita, hilo lipo vyuo vingi ukanda wa Dar es Salaam.
Sasa ukiwa unajiweza kiuchumi basi tafuta room mtaani lipia, weka ratiba yako vizuri na pangilia mambo yako vizuri uanze kukua kifikra kwani boom likianza sio tu kununua simu na subwoofer basi fikiria kuwekeza mtaji utakaokusaidia siku ukidisco na kurudi mtaani au ukimaliza masomo, jibajeti mwenyewe matumizi, ukijitahidi limbikiza vijisent vyako mwisho wa siku nunua bajaji weka kijiweni huku kitabu kinasonga mbele.
Mfano: kwa miezi miwili meal and acomodation mnapewa 450,000/= sasa ukiwa hostel bajeti yako iko hivi, asubuhi chai ni 1000/= mchana lunch ni 1500 +500 maji, jioni dinner 1500+ maji. Jumla kwa siku 5000/= kadrio la chini, kwa mwezi 150,000/= Sasa ukiwa peke yako umepanga somewhre kwa chakula tu permonth haifiki hiyo laki na hamsini, na unajikuta katika boom lako unasave pesa kibao ili mradi uwe na akili ya matumizi ya pesa.
Zamani tulifikiri ukifika UNIVERSITY ndio mwisho wa yote we ni kuku mrija tu la hasha maisha sasahivi ni ya kusoma namba kila kona. Nakushauri katumie muda wako na rasirimali za mikopo vizuri, ujiinue kimaisha na ujue kuwasaidia wadogo na ndugu zako uliowaacha kijijini.