Ninairudisha thread hii katika mtizamo mwingine ili pawe na uwanja mpana zaidi wa kuijadili.
Wakati kuna mtafaruku wa kuwa EL alistaafu na heshima anayostahili katika jamii ni vizuri tuangalie kwa undani vigezo na stahili anazotakiwa apate kiongozi ambaye amekumbana na moja ya yaliyotajwa hapo.
Tuna mifano mingi ambayo tunaweza kuitumia lakini lengo ni kuwa mwisho tujue ukweli uko wapi.
Wadau karibuni.
Wakati kuna mtafaruku wa kuwa EL alistaafu na heshima anayostahili katika jamii ni vizuri tuangalie kwa undani vigezo na stahili anazotakiwa apate kiongozi ambaye amekumbana na moja ya yaliyotajwa hapo.
Tuna mifano mingi ambayo tunaweza kuitumia lakini lengo ni kuwa mwisho tujue ukweli uko wapi.
Wadau karibuni.