Kujitolea ni moyo

Kujitolea ni moyo

MKALI WA MAMBO

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
211
Reaction score
146
Bibi yako mwenye umri wa miaka 95 anatakiwa kufanyiwa surgery ambayo itagharimu karibia milion 15 Na wewe benki una takribani milion 16 ambazo umeanza kuziweka tangu 2010 je utalipa..?

Funguka
 
Mimi natoa ..bana....ilihali bado Nina nguvu ya kutafuta ...I hope nitapata zingine....
 
Mim kwakua nampenda bibi angu ntampa zawad ya milion moja kabla ajaaga dunia ale vizur
 
hapo nafunga macho na kumwambia bibi kila nafsi itaonja mauti hvy asijali tutakutana mbele huko.
 
hapo nafunga macho na kumwambia bibi kila nafsi itaonja mauti hvy asijali tutakutana mbele huko.
Inauma sana unalipia baada ya matibabu anakaa cku mbili anafariki pumbaaaaavu waweza dai pesa zko sometimes maisha ni kamari mungu katuficha mengi!
 
Kwani watajua kama ninazo hizo hela, ila kwa huo umri lazma ujifikirie mara mbili mbili kama unabet
 
Back
Top Bottom