Wapo mkuu kwenye baadhi ya nyuzi huko labda hukubahatika kuona tuuMmmmh! Kwa mara ya kwanza namuona mech ngazi ya diploma anaomba mchongo humu.
Duuu! Sema ubaya wa hii fani mbwana kazi ni nyingi lakini vyeti haviyawahi matter. Yaani uzoefu aisee kunaviwanda hasahasa vya wa china aisee hata cheti Cha darasa la Saba hawakuulizi. Wao wanakupa mzigo tengeneza ukiweza sawa ukishindwa wanakutimuaWapo mkuu kwenye baadhi ya nyuzi huko labda hukubahatika kuona tuu
Umeandika vitu vya msingi sana mkuu, siku hzi wanazingatia sana unaweza Fanya ninii na sio certificate tuu.. ishuu inayowaumiza wengi sanaDuuu! Sema ubaya wa hii fani mbwana kazi ni nyingi lakini vyeti haviyawahi matter. Yaani uzoefu aisee kunaviwanda hasahasa vya wa china aisee hata cheti Cha darasa la Saba hawakuulizi. Wao wanakupa mzigo tengeneza ukiweza sawa ukishindwa wanakutimua
TUWASILIANE KWA KAZI YA KUFUNDISHA WANAFUZNI WA VETA 0717157640Wakuu habari zenu, mimi ni mhitimu wa kada ya diploma in Mechanical engineering natafuta kazi ama kujitolea.
Mimi ni kijana mchapa kazi kwa ambaye anaweza kunisadia tunaweza kuwasiliana.
Naomba kuwasilisha na asanteni
TUWASILIANE KAZI YA KUFUNDISHA LEBVEL 1-3Wakuu habari zenu, mimi ni mhitimu wa kada ya diploma in Mechanical engineering natafuta kazi ama kujitolea.
Mimi ni kijana mchapa kazi kwa ambaye anaweza kunisadia tunaweza kuwasiliana.
Naomba kuwasilisha na asanteni