Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Wadau najaribu kutafakari kwa kina.......baada ya Viongozi wengi wa chama kilicho madarakani kwenda kwa nyakati tofauti kupata kikombe Loliondo imeibuka falsafa ya kupinga ufisadi uliokuwa sera zake, na kutamka hadharani wanajivua magamba sijui yepi......! Kuna taarifa rasmi alikwenda kupata kikombe kwa kusingizia anakwenda on a nyayo za watu wa kale......
kikombe kitasaidia taifa
Mch nilikuwa huko
kikombe kitasaidia taifa
Mch nilikuwa huko