msikilize kwa dakika kama 12 bila kutia neno zaidi ya kuitika "mmm, eeeeh, sawa, kumbee....", halafu baada ya dakika hizo onesha kushtuka na kumtazama usoni mwambie sikuwa na nasikiliza unasema nini, ebu rudia tangu mwanzo....., akianza kurudia wewe endelea kufanya mambo yako, na baada ya muda tena wa dakika kama 10 mwambie samahani nilihama tena kidogo, ebu rudia.....
Amin nakwambia, atanyanyuka na kwenda zake....