#COVID19 Kujikinga na Maambukizi zaidi: Serikali walazimishe 'level seat'

fasiliteta

JF-Expert Member
Jul 2, 2014
2,165
3,655
Nafikiri ni muda sahihi sasa wa Serikali kulazimisha usafiri wa umma kubeba level seat Ili si tu kukabiliana na COVID bali hata magonjwa mengine ikiwamo TB,Magonjwa yote ya kuambukiza kuanzia UTI,CHOLERA n k.

Watu wanahemeana sana mpaka wanapakana majasho na kuhemeana usoni kabisa.

Serikali naona inacheza tu na mustakabali wa raia wake,Ni bora wasitutangazie uwepo wa huu ugonjwa kuliko kutangaza watu wavae barakoa,kunawa mikono na kukaa distance huku wakiacha usafiri wa umma kusimamisha na kurundika watu kwenye usafiri wa umma(Daladala,mwendokasi,pantoni).

Waende mbali na kuangalia mikusanyo ya watu kuanzia masokoni,masherehe mpaka mipirani.

Kuendelea kuruhusu haya ni kujitekenya tu then unacheka mwenyewe.

Watoto Mashuleni tuone nao kuna juhudi gani zinafanyika kwa mashule hasa watoto wenye matatzo mbalimbali ya kiafya.

Vyuo navyo pia tahadhari ziendelee kuchukuliwa huku baadhi ya masomo walazimishwe kusoma kwa mtindo wa ZOOM/LECTURES mtandaoni.

All in All still naamini njia aliyotumia Mwendazake ni nafuu kubwa kwa nchi Maskini kuliko hizi za Sasa ambazo zimefeli nchi za dunia ya kwanza.

Tukumbuke pia vifo vinavyotokana na balaa la njaa vimeongezeka zaid ya mara tatu ukilinganisha na Kabla ya Janga hili la COVID kwa mujibu wa takwimu za UN.

Serikali pia idhibiti kiwango cha mauzo ya chakula kama Mahindi,Mchele na Maharage kwa nchi za nje ilikua kuchukua tahadhari Zaid kutokana na mwenenendo huu wa kiCOVID COVID.
 
Mikusanyiko isiyokuwa umuhimu kama ya mbio za mwenge, mikutano ya barabarani, ile ya masokoni, matamasha, nk nayo huna neno kwao mkuu?
Ndugu facilitator huwa ana mrengo anaoujua yeye mwenyewe,ndio maana najaribu kumkumbusha mengine.
 
Mikusanyiko isiyokuwa umuhimu kama ya mbio za mwenge, mikutano ya barabarani, ile ya masokoni, matamasha, nk nayo huna neno kwao mkuu?
Yote hyo wapige marufuku,ajabu sana sijui hizo tahadhari Zina maana gani
 
You fucki* people crave for authoritarian measures, yet when you had an authoritarian leader you bitched and moaned about him 24/7.
 
Tushachelewa.

Muhimu kwa sasa ni wewe binafsi uchukue tahadhari!!

Kama unajijua una underlying conditions jitahidi sana kuwa makini na movements zako.

Hali si shwari!!
 
Tushachelewa.
Muhimu kwa sasa ni wewe binafsi uchukue tahadhari!!
Kama unajijua una underlying conditions jitahidi sana kuwa makini na movements zako.
Hali si shwari!!
Utakua na maslahi ktk hizo daladala wewee.
Bado mnatamani hesabu itimie
 
Wakati huohuo Rais Samia anazurura na anakusanya wananchi na kakaje kule Zanzibar. Hata siwaelewi wanatutisha halafu wao wanaendelea mikutano tu.
 
Wala hakuna haja ya levo siti, watu wa daladala watapata hasara,
Inachotakiwa abiria wote wavae barakoa
 
Wala hakuna haja ya levo siti, watu wa daladala watapata hasara,
Inachotakiwa abiria wote wavae barakoa
Acha kuangalia maslahi binafsi boss,Sasa ndo hyo distance mkijaa kwa mwendokasi/daladala inakua tena si 2Meter inakua 2Millimeter siyo?
 
Nyie nyote mnaoshabikia huu us.enge wa Corona ni watu mnaoishi kwa shemeji zenu na hamlipi hata Kodi ya nyumba/chumba. Hivi hiyo Corona unahitaji kumwambia mtu usibanane,vaa barakoa etc!??... Jibu ni kwamba Corona ipo zaidi mitandaoni, siku ikifika mtaani kila nyumba ikawa na msiba hutaona mtu akipanda daladala iliyojaa. Ila Corona mnaikuza kuliko uhalisia wake. Mlivyo WAPUMBAVU mpo mnasisitiza tu Mambo msiyojua athari zake. Petrol imetoka 2050 hadi 2400 na nauli ya Tegeta - Kariakoo bado ni 600 tu, je wakikaa level seat itakuwaje!??.. ndo maana nimesema mtoa mada ni mtu anayekaa kwa shemeji yake.
 
Back
Top Bottom