Kujifunza programming bila kwenda chuo

Binadamu hatufanani mkuu kama wewe unaona kuna ugumu kwenye jambo fulani ni wewe usidhani wote tunapita kwenye njia moja kila mtu ananjia yake na ugumu wako kwa mwingine unaweza kuwa ndo utelezi
Sawa sikatai, pia inategemea kazi za aina gani anazofanya huko ,sidhani kama anafanya kitu kikubwa sana zaidi ya web development. Maana wengi ndio hua kazi zao. Wapo wachache ambao wanakiweza wanafanya zaidi, na wengi wanakua na elimu kwenye technical field nyingine hasa mathematics na engineering.
 
Binadamu hatufanani mkuu kama wewe unaona kuna ugumu kwenye jambo fulani ni wewe usidhani wote tunapita kwenye njia moja kila mtu ananjia yake na ugumu wako kwa mwingine unaweza kuwa ndo utelezi
Course ya Cs/ce ile yenyewe hainaga cha utelezi,utelezi upo kwa hao wanaokariri tu programming language ndo maana unaskia mtu anajifunza syntax mwaka mmoja alafu anajiita engineer. Na ndo maana wanaiogopa sana njia ya canan wanapita shortcut
 
Course ya Cs/ce ile yenyewe hainaga cha utelezi,utelezi upo kwa hao wanaokariri tu programming language ndo maana unaskia mtu anajifunza syntax mwaka mmoja alafu anajiita programmer. Na ndo maana wanaiogopa sana njia ya canan wanapita shortcut
Unapokosea ni pale unapomwita degree holder kwamba ni programmer... Anybody can be a programmer.. Programming is just a tool.. Anybody can learn how to use code..

Kuna tofauti kubwa sana between a Programmer and an Engineer/Scientist .. It takes months to learn how to code but knowing how to use it to get a job done ndio issue ilipo.. Ni sawa na uwezekano wa kujua maneno yote duniani ila ukashindwa kuyapanga vizuri kutoa taarifa inayotakiwa..

Zipo aspects za CS ambazo ni vigumu sana mtu kuwa self taught mfano AI, Data Science, Security.. Lakini programming anyone can do.. Programmers and coders go to bootcamps.. Engineers and scientists go to Universities. Huku china programming inafundishwa kama stadi za kazi kwenye polytechnic colleges (mf. VETA).
 
Unapokosea ni pale unapomwita degree holder kwamba ni programmer... Anybody can be a programmer.. Programming is just a tool.. Anybody can learn how to use code..

Kuna tofauti kubwa sana between a Programmer and an Engineer/Scientist .. It takes months to learn how to code but knowing how to use it to get a job done ndio issue ilipo.. Ni sawa na uwezekano wa kujua maneno yote duniani ila ukashindwa kuyapanga vizuri kutoa taarifa inayotakiwa..

Zipo aspects za CS ambazo ni vigumu sana mtu kuwa self taught mfano AI, Data Science, Security.. Lakini programming anyone can do.. Programmers and coders go to bootcamps.. Engineers and scientists go to Universities. Huku china programming inafundishwa kama stadi za kazi kwenye polytechnic colleges (mf. VETA).
True. Ahsante kwa kunisahihisha ,ata ivyo nnapoongelea programmer akilini namaanisha engineer/ scientist. makosa tu madogo ya uwasilishaji.
 
Ndo maana unahaha.
Kama kasoma chini ya mwembe or MIT or Stanford it's not relevant to the discussion. Kwahiyo angesema kasoma Havard ungejibu "ndo maana unahaha" au ungetwist it to go with your thinking. You are not arguing against his point, you are attacking the person.

You went after another person saying wanatengeneza program uchwara na kuweka play store. That is miles better than nothing, a semester in databases, security, or whatever doesn't make you an expert. Stop being condescending

The only reason I can think off why unauliza watu wamesoma wapi, or baiting them to talk about "project uchwara" is to gauge who you are arguing with and whether or not you want to agree with them or not. Au unataka tukuulize wewe una projects gani and umesoma wapi so that you can brag about it? Argue against the points and so far you've been beating around the bush about what a degree gives you that being self-taught doesn't.
 
Sawa sikatai, pia inategemea kazi za aina gani anazofanya huko ,sidhani kama anafanya kitu kikubwa sana zaidi ya web development. Maana wengi ndio hua kazi zao. Wapo wachache ambao wanakiweza wanafanya zaidi, na wengi wanakua na elimu kwenye technical field nyingine hasa mathematics na engineering.
And this notion you have that web dev is for self-taught people is stupid and shows how arrogant you are, you assume it easy, and doesn't need any kind of understanding ya programming. Web development is a very fast changing environment, there are new frameworks every few years and of course to keep up with it you have to teach yourself. Some people will stick with legacy stuff but doesn't mean they any less technical. Unasema maths over and over, and you are yet to prove how that is handy for your day to day programming
 
Hawa madogo wakikariri lines mbili tatu za php na html kisha wakaweza kuisalimu dunia kwa 'Hello World!' ni shida.
Mimi nimemaliza chuo na basic knowledge ya Pascal,C,VB na Web Technologies tu tena HTML maana hata CSS sikuwahi ijua maana mambo yote ilikuwa Dreamweaver na PHP sijawahi ipenda,miaka 10 sasa since graduation nacode kwa Java,C#,VB.Net na sasa Python si haba na vyote ni self taught kwa kufanya projects zangu huku nikisoma forums mbalimbali na kutumia videos za YouTube nk.
Lecture anakufundisha Database Query Language eg SQL mpaka course inaisha haujaona hata hizo script zinavyovuta taarifa na kupeleka commands na hapo yupo na projector kuuubwa na laptop,anashindwa kudesign hata simple DB watu waone kwa macho yao!
Sasa huyo dogo sijui anaongea pumba gani?

Madogo Hamna kitu Hawa....Wanachukulia Vitu Rahisi....Hivi Vidogo Vinaafanya Project za Web Programming kwa kucopy free source online....Siku ya Presentation ukimuuliza hata Aelezee Data ktk Database yake Zina relate vipi ni Mtihani
Na hao ndo wanakuja huku na kujiita wasomi kwa kudharau wanaojifunza Online

Huyu dogo Kama sio Mwendawazim Basi ni Lofa
 
And this notion you have that web dev is for self-taught people is stupid and shows how arrogant you are, you assume it easy, and doesn't need any kind of understanding ya programming. Web development is a very fast changing environment, there are new frameworks every few years and of course to keep up with it you have to teach yourself. Some people will stick with legacy stuff but doesn't mean they any less technical. Unasema maths over and over, and you are yet to prove how that is handy for your day to day programming
Mwanzilishi wa Instagram ni Self taught Programmer na kafanikiwa ku code Social Media Pendwa zaidi Duniani..... Despite kuwa ni Self taught Still ni Leading programmer katika Facebook Deep text Project ambayo Ni Fields nyingine kabisa ya A.I
Sasa Pimbi Mmoja tu anapotokea na kusema Web development Ni self taught pekee yake inashangaza
Hivi Vidogo vimekalili kuwa Elimu ni vyeti....Ndo maana tuna Rundo la Ma IT na Cs graduates kibao ambao wamejaa mtaanii kuuza karanga
Tech company kubwa Kama Google hawaangalii Cheti Chako au Uliposoma but what You can Offer
Watu tumesoma chuo but kiuhalisia skills nyingi za Programming tumejifunza wenyewe....Halafu Pimbi Kama huyu anakuja kuongea pumba
 
Best programer are hackers and 98% ya best hackers hawajakaa darasani.
 
Hata hujui unachozungumza bro. Hizi hizi code zimenipa ajira kwenye shirika kubwa tu hapa bongo na 6 figure salary. Pambana na u-jobless wako maana ungekuwa una value muda wako usingeleta such a shambolic discussion. You have time to post whatever you want. Hujakatazwa
Hahaha bro endelea kujifariji, na kama ww ni self taught dev Najua ss iv upo mbele ya screen unacode vi program uchwara (calculator, website,clone ya excel ,system ya shule and the like).kisha uvipandishe playstore kama ushaidi wa kazi ulizofanya!
 
Mwanzilishi wa Instagram ni Self taught Programmer na kafanikiwa ku code Social Media Pendwa zaidi Duniani..... Despite kuwa ni Self taught Still ni Leading programmer katika Facebook Deep text Project ambayo Ni Fields nyingine kabisa ya A.I
Sasa Pimbi Mmoja tu anapotokea na kusema Web development Ni self taught pekee yake inashangaza
Hivi Vidogo vimekalili kuwa Elimu ni vyeti....Ndo maana tuna Rundo la Ma IT na Cs graduates kibao ambao wamejaa mtaanii kuuza karanga
Tech company kubwa Kama Google hawaangalii Cheti Chako au Uliposoma but what You can Offer
Watu tumesoma chuo but kiuhalisia skills nyingi za Programming tumejifunza wenyewe....Halafu Pimbi Kama huyu anakuja kuongea pumba
Acha kuropoka viti usivovijua waanzilishi wote wa Instagram wamesoma stanford, mmoja engineering management na mwingine symbolic systems, course ambayo kimsingi ni artificial intelligence. Ushahidi na attach picha . Alafu unaropoka ropoka tu apa.
Idea kama ya Instagram sio ya kitoto ya kuvamia vamia tu . Ao watu wamekula course za kutosha ,nimeshakwambia self taught the best u can do ni html css na some javascript kwa ajili ya front end full stop!
 

Attachments

  • Screenshot_20190717-203617_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20190717-203617_Samsung Internet.jpg
    124.3 KB · Views: 31
  • Screenshot_20190717-203608_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20190717-203608_Samsung Internet.jpg
    54.6 KB · Views: 28
  • Screenshot_20190717-203601_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20190717-203601_Samsung Internet.jpg
    77 KB · Views: 31
  • Screenshot_20190717-203542_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20190717-203542_Samsung Internet.jpg
    72.1 KB · Views: 26
  • Screenshot_20190717-203516_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20190717-203516_Samsung Internet.jpg
    74.6 KB · Views: 27
Mwanzilishi wa Instagram ni Self taught Programmer na kafanikiwa ku code Social Media Pendwa zaidi Duniani..... Despite kuwa ni Self taught Still ni Leading programmer katika Facebook Deep text Project ambayo Ni Fields nyingine kabisa ya A.I
Sasa Pimbi Mmoja tu anapotokea na kusema Web development Ni self taught pekee yake inashangaza
Hivi Vidogo vimekalili kuwa Elimu ni vyeti....Ndo maana tuna Rundo la Ma IT na Cs graduates kibao ambao wamejaa mtaanii kuuza karanga
Tech company kubwa Kama Google hawaangalii Cheti Chako au Uliposoma but what You can Offer
Watu tumesoma chuo but kiuhalisia skills nyingi za Programming tumejifunza wenyewe....Halafu Pimbi Kama huyu anakuja kuongea pumba
Mkuu save your strengths. Huyu dogo lengo lake ni kupata attention so that he can convince himself that he's also relevant in the tech world. Achana nae.
 
Nitashare link za paid programming course ambapo mwenye kuhitaj anipm itampatia link atajiunga na udemy na atazipata hizo course free kabisa bila kutoa hata mia. course zenyewe zinanzia $199 but utazipata free kabisa.link yenyew niya telegram channel.ukimaliza course utapewa certificate yako.
Mkuu mbona hujashare izo code!!
 
Mkuu save your strengths. Huyu dogo lengo lake ni kupata attention so that he can convince himself that he's also relevant in the tech world. Achana nae.
Uyo muongo hajui anachokiongea waanzalishi wa Instagram wote wamepitia stanford mmoja kasoma engineering management mwingine cs( AI) ushahidi nimeweka ,yy anakurupuka tu anakuja kuropoka hovyo humu.
 
Mkuu save your strengths. Huyu dogo lengo lake ni kupata attention so that he can convince himself that he's also relevant in the tech world. Achana nae.
Pili, jifunze kutofautisha entrepreneurs na engineers, very important. Hao waanzilishi unaowaskia sijui Zuckerberg, spiegel,systrom, di angelo sio kwamba wote walicode wenyewe hizo tech products , wengi waliasisi tu idea na ku develop version za mwanzo kabisa za hizo products,afterr that waliajiri engineers ( mostly graduates) kuendeleza na kuinnovate.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom