BROEDASS
Member
- Sep 25, 2012
- 32
- 18
Wapendwa wana jamii forum ninapenda sana kujifunza lugha ya ishara nina mtoto pia ambaye anashida ya kuongea hivyo naomba kwa yeyote mwenye uelewa wa lugha hii anipe mwongozo ili mm na mwanangu tuweze kujifunza lugha ya ishara ili mimi niweze kuwa msaada kwake na kwa wengine wenye tatizo kama lake!Natanguliza shukrani