Kujifungua mtoto wiki ya 23

Kujifungua mtoto wiki ya 23

Hummaira

Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
30
Reaction score
75
Habari za mida, natumaini wote mpo sawa mnaendelea vzr na majukumu ya ujenzi wa nchi.

Ndugu zangu juzi nimepata bahati mbaya ya kufiwa na mwanangu niliemzaa akiwa na miezi 6 tu. Naumia sana niliitafuta hii mimba kwa miaka miwili lakini namuachia Mungu na namshkuru kwa yote .

Naombeni kueleweshwa kwa mwenye uelewa sababu zinazosababisha hiyo hali ya kuzaa mtoto premature kwa muda huo wa miezi sita. Mimi binafsi sikusumbuliwa na chchte au dalili yyte ya kushitusha, nilianza kuumwa na kiuno kwa kama masaa mawili tu na wakati nafikishwa hospitali chupa ya maji ya mtoto ikawa imepasuka na nilivyofika leba sikuchukua muda njia kufunguka sikuwekwa vidonge wala maji ya uchungu na nilijifungua mtoto akiwa hai lakini alikaa kama dakika chache akafariki. Naombeni mnisaidie knowledge juu ya hili najiskia mpweke natamani nikikaa miezi mitatu nipate ujauzito mwengine lakini nijue tu nini kilisababisha next time niweze kuwa makini zaidi na Mungu ajaalie nipate angalau mtoto wa kunifuta machozi.

Kulingana na majibu yenu nitajaribu kuangalia na ku relate na mambo niliokua nafanya nijue kama miongoni mwa hizo kuna sababu zilizosababisha asanteni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari za mida, natumaini wote mpo sawa mnaendelea vzr na majukumu ya ujenzi wa nchi.

Ndugu zangu juzi nimepata bahati mbaya ya kufiwa na mwanangu niliemzaa akiwa na miezi 6 tu. Naumia sana niliitafuta hii mimba kwa miaka miwili lakini namuachia Mungu na namshkuru kwa yote .

Naombeni kueleweshwa kwa mwenye uelewa sababu zinazosababisha hiyo hali ya kuzaa mtoto premature kwa muda huo wa miezi sita. Mimi binafsi sikusumbuliwa na chchte au dalili yyte ya kushitusha, nilianza kuumwa na kiuno kwa kama masaa mawili tu na wakati nafikishwa hospitali chupa ya maji ya mtoto ikawa imepasuka na nilivyofika leba sikuchukua muda njia kufunguka sikuwekwa vidonge wala maji ya uchungu na nilijifungua mtoto akiwa hai lakini alikaa kama dakika chache akafariki. Naombeni mnisaidie knowledge juu ya hili najiskia mpweke natamani nikikaa miezi mitatu nipate ujauzito mwengine lakini nijue tu nini kilisababisha next time niweze kuwa makini zaidi na Mungu ajaalie nipate angalau mtoto wa kunifuta machozi.

Kulingana na majibu yenu nitajaribu kuangalia na ku relate na mambo niliokua nafanya nijue kama miongoni mwa hizo kuna sababu zilizosababisha asanteni


Sent from my iPhone using JamiiForums
Pole sana mamii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana! Next time ukipata ujauzito hama hayo mazingira mpaka ujifungue! Wengine usababishwa na njia ya uzazi kushindwa kubeba uzito wa mtoto jinsi anavyokua! Jitahidi kupumzika kuanzia miezi 5 na kuendelea! Kwa wakristo maombi ni muhimu mwanzo mwisho hasa hasa maombi ya kilokole!
 
Pole sana, haukujaribu kuuliza hapo hospital ulipojifungulia?. Ndio watu pekee wangeweza kujua ni kipi kilipelekea hiyo hali kwani ndio waliokupokea na kukuzalisha.
 
Habari za mida, natumaini wote mpo sawa mnaendelea vzr na majukumu ya ujenzi wa nchi.

Ndugu zangu juzi nimepata bahati mbaya ya kufiwa na mwanangu niliemzaa akiwa na miezi 6 tu. Naumia sana niliitafuta hii mimba kwa miaka miwili lakini namuachia Mungu na namshkuru kwa yote .

Naombeni kueleweshwa kwa mwenye uelewa sababu zinazosababisha hiyo hali ya kuzaa mtoto premature kwa muda huo wa miezi sita. Mimi binafsi sikusumbuliwa na chchte au dalili yyte ya kushitusha, nilianza kuumwa na kiuno kwa kama masaa mawili tu na wakati nafikishwa hospitali chupa ya maji ya mtoto ikawa imepasuka na nilivyofika leba sikuchukua muda njia kufunguka sikuwekwa vidonge wala maji ya uchungu na nilijifungua mtoto akiwa hai lakini alikaa kama dakika chache akafariki. Naombeni mnisaidie knowledge juu ya hili najiskia mpweke natamani nikikaa miezi mitatu nipate ujauzito mwengine lakini nijue tu nini kilisababisha next time niweze kuwa makini zaidi na Mungu ajaalie nipate angalau mtoto wa kunifuta machozi.

Kulingana na majibu yenu nitajaribu kuangalia na ku relate na mambo niliokua nafanya nijue kama miongoni mwa hizo kuna sababu zilizosababisha asanteni


Sent from my iPhone using JamiiForums
Unhitaji kuonwa na daktari wa magonjwa ya kinamama kwa uchunguzi zaidi.
Sababu zipo nyingi, kutokana na maelezo uliyotoa ingawa bado kuna vitu sivijui kuhusiana na wewe, kuna uwezekano kiwango kikubwa kuwa ni Cervical incomptence.
Tiba yake ni wakati wa uja uzito kuna dawa unaweza pewa na daktari wako hasa pale mwanzoni, baada ya wiki 15 hadi 17 utafanyiwa ultarasound, kama mimba iko vizuri utashonwa kizazi (cerclage) kuzuia mtoto asishuke na kuanzisha uchungu. Baada ya hapo utaendelea na bed rest , ukikaribia kujifungua , huo uzi utatolewa.
Angalau mimba ikifika wiki 28 , kuna nafasi ya mtoto kuishi (asilimia kama 50 kwa mazingira ya Tz), kama atazaliwa akiwa hana shida na hospitali ikawa ina uwezo wa kutunza watoto njiti.
 
Pole sana mamy

Inavyodaiwa stress pia inachangia Au ile hali ya kujiuliza kila mara “hivi nitajifungua salama, mimba hivi na hivi” (kiimani zaidi wanavyodai hofu pia inasababisha

Pia kufanya kazi kwa muda mrefu bila kupata muda mzuri wa kupumzika au kubeba vitu vizito

Pia kutokufanya mazoezi hata yale madogo dogo
 
M/mungu akujaalie upate mimba nyingine na uweze kujifungua salama kwa muda stahiki
IN SHA ALLAH
 
Pole sana, haukujaribu kuuliza hapo hospital ulipojifungulia?. Ndio watu pekee wangeweza kujua ni kipi kilipelekea hiyo hali kwani ndio waliokupokea na kukuzalisha.

Hospitali hawakuweza kunipa jibu la moja kwa moja walikua wanafanya tu assumptions wakisema ni cervical incompetence lakini bado sio kwa uhakika


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unhitaji kuonwa na daktari wa magonjwa ya kinamama kwa uchunguzi zaidi.
Sababu zipo nyingi, kutokana na maelezo uliyotoa ingawa bado kuna vitu sivijui kuhusiana na wewe, kuna uwezekano kiwango kikubwa kuwa ni Cervical incomptence.
Tiba yake ni wakati wa uja uzito kuna dawa unaweza pewa na daktari wako hasa pale mwanzoni, baada ya wiki 15 hadi 17 utafanyiwa ultarasound, kama mimba iko vizuri utashonwa kizazi (cerclage) kuzuia mtoto asishuke na kuanzisha uchungu. Baada ya hapo utaendelea na bed rest , ukikaribia kujifungua , huo uzi utatolewa.
Angalau mimba ikifika wiki 28 , kuna nafasi ya mtoto kuishi (asilimia kama 50 kwa mazingira ya Tz), kama atazaliwa akiwa hana shida na hospitali ikawa ina uwezo wa kutunza watoto njiti.

Shukran sana nitalifanyia kazi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari za mida, natumaini wote mpo sawa mnaendelea vzr na majukumu ya ujenzi wa nchi.

Ndugu zangu juzi nimepata bahati mbaya ya kufiwa na mwanangu niliemzaa akiwa na miezi 6 tu. Naumia sana niliitafuta hii mimba kwa miaka miwili lakini namuachia Mungu na namshkuru kwa yote .

Naombeni kueleweshwa kwa mwenye uelewa sababu zinazosababisha hiyo hali ya kuzaa mtoto premature kwa muda huo wa miezi sita. Mimi binafsi sikusumbuliwa na chchte au dalili yyte ya kushitusha, nilianza kuumwa na kiuno kwa kama masaa mawili tu na wakati nafikishwa hospitali chupa ya maji ya mtoto ikawa imepasuka na nilivyofika leba sikuchukua muda njia kufunguka sikuwekwa vidonge wala maji ya uchungu na nilijifungua mtoto akiwa hai lakini alikaa kama dakika chache akafariki. Naombeni mnisaidie knowledge juu ya hili najiskia mpweke natamani nikikaa miezi mitatu nipate ujauzito mwengine lakini nijue tu nini kilisababisha next time niweze kuwa makini zaidi na Mungu ajaalie nipate angalau mtoto wa kunifuta machozi.

Kulingana na majibu yenu nitajaribu kuangalia na ku relate na mambo niliokua nafanya nijue kama miongoni mwa hizo kuna sababu zilizosababisha asanteni


Sent from my iPhone using JamiiForums
50% ya mimba zinazoharibika sababu huwa haijulikani na haiwezi kujulikana (unknown cause)

Sababu zingine kwa umri huo wa ujauzito ni kama cervical incompetence (shingo ya kizazi kushindwa kuhimili mimba kadri ilivyokuwa), mama kuwa na fibroids, au nyumba ya uzazi kuwa na abnormalities zozote (septate, bicornuate)
Sababu nyingine ni pressure kuwa juu, kisukari, na matatizo ya mfumo wa homoni

Sababu ziko nyingi sana na nyingine sijazitaja hapo cha kufanya uende kwa gynacologist ufanye vipimo kujua chanzo huku ukijua kuna uwezekano wa 50% wa kutokujua chanzo

One last thing, miezi mitatu haitoshi. Inabidi ungoje si chini ya miezi sita tangu mimba ilivyoharibika ndio upate nyingine otherwise unajiweka katika hatari ya kupoteza na hii vile vile
 
50% ya mimba zinazoharibika sababu huwa haijulikani na haiwezi kujulikana (unknown cause)

Sababu zingine kwa umri huo wa ujauzito ni kama cervical incompetence (shingo ya kizazi kushindwa kuhimili mimba kadri ilivyokuwa), mama kuwa na fibroids, au nyumba ya uzazi kuwa na abnormalities zozote (septate, bicornuate)
Sababu nyingine ni pressure kuwa juu, kisukari, na matatizo ya mfumo wa homoni

Sababu ziko nyingi sana na nyingine sijazitaja hapo cha kufanya uende kwa gynacologist ufanye vipimo kujua chanzo huku ukijua kuna uwezekano wa 50% wa kutokujua chanzo

One last thing, miezi mitatu haitoshi. Inabidi ungoje si chini ya miezi sita tangu mimba ilivyoharibika ndio upate nyingine otherwise unajiweka katika hatari ya kupoteza na hii vile vile

Sawa Asante sana lakini sikuwa na presha wala sukari probably ni hiyo cervical incompetence (god forbid) au hizo 50% ambazo hatujui nashkuru sana kwa ushauri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom