Kujianika kwa Wanawake Nyerere Square!

Huwa wanakaa wanapaka rangi kucha, wanasubiri tym ya kwenda chako au laaziz club au whatever! Kwani wanakukalia au kukulalia wanapojianika?
 
Bado sijapata jibu kuhusu hii kitu. Kwa muda sasa kumekuwa na hii kitu mjini dodoma. Nyakati za jioni kunakuwa na wakina dada wengi 'wanajianika' eneo la Nyerere Square mijni dodoma.

Nilichogundua, wengi wa hao ni wanafunzi wa vyuo vikuu vya hapa mjini. Ukizingatia kwa sasa vyuo vingi vinafundisha hadi wakati wa usiku, sasa sielewi, muda mwingi wanaokaa eneo hili lengo lao hasa ni lipi na je ni wakati gani wanajisomea?

labda ni reptiles wanaota jua, who knows?... Yote tuyaache huwa kuna chips tamu sana pale na ni center ya kupata wachumba na kama una rafiki Dom ukijianika pale chances za kuonana naye ni kubwa mno! Nami nikitokaga kwetu Ahamugongo, huwa najianika sana!
 
hata kwenye grocery vyakunywa(eg soda, bia) vinakuwa displayed ili wateja waone
 
Bado sijapata jibu kuhusu hii kitu. Kwa muda sasa kumekuwa na hii kitu mjini dodoma. Nyakati za jioni kunakuwa na wakina dada wengi 'wanajianika' eneo la Nyerere Square mijni dodoma.

Nilichogundua, wengi wa hao ni wanafunzi wa vyuo vikuu vya hapa mjini. Ukizingatia kwa sasa vyuo vingi vinafundisha hadi wakati wa usiku, sasa sielewi, muda mwingi wanaokaa eneo hili lengo lao hasa ni lipi na je ni wakati gani wanajisomea?

wewe si ungewauliza? Au uliwaona kupitia runingani? Na je kama unawaona kila mida ya jioni hapo, na ww kwa nini unapitapita kila jioni hapo why?
 
Sasa nenda ebu nichukulie namba ya mmoja nitumie haraka sana. Mimi Niko Dar es Salaam nitakuja na ile basi ya jioni
 
Back
Top Bottom