mpe pole kwa matatizo, lakini alitakiwa kujua kwamba, siku hizi hakuna uaminifu, so mkataba ni muhim sana. mkataba sio lazima muandikishiane, hata kwa makubaliano ya maneno tuu, inaweza kutosha kufanya mkataba. mpaka kujenga hapo ina maana palikuwa na makubaliano fulani ndo maana hata mwenye eneo hakupinga huyo jmaa kujenga hapo.
hicho kipengele wanachobishania, kilikuwepo kwenye makubaliano ya awali? na kama ni kujilipa ktk biashara itakuwaje pale atakapo pata hasara?
USHAURI WANGU: mpaka hapo kuna mkataba tayari, 2. ifanyike kama walivyokubaliana awali, kama anakiuka basi amfikishe sheriani, 3. ahakikishe ana document yoyote inayoonyesha yeye kujenga hapo, 4. ache kufanya vi2 bila kuandikishiana, coz anakuwa hana ushaidi.