davetz28
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 543
- 617
Niliwahi kuja na hoja ya ujenzi wa nyumba kwa shilingi 25000000/ milioni ishirini na tano kwa Dar na ikaonekana kuwa siwezi kupata nyumba ya kisasa.
Leo nimekuja na wazo la kujenga au kupata nyumba kwa mortgage, utaratibu wa kununua nyumba au kukopa pesa ya nyumba kwa mfumo huohuo na marejesho ya muda mrefu.
Binafsi nimependa kupewa pesa kwa awamu kupitia mkopo huo kuliko kukopa nyumba na marejesho hadi miaka kumi na tano.
Nimekuja hapa kupata uzoefu waliowahi kupata nyumba kwa utaratibu huu na maoni kwa ujumla kwa wanajukwaa wengine.
Napenda kupata nyumba ikiwa imekamilika kuliko kujenga nusunusu.
Karibu kwa ushauri wenu
Leo nimekuja na wazo la kujenga au kupata nyumba kwa mortgage, utaratibu wa kununua nyumba au kukopa pesa ya nyumba kwa mfumo huohuo na marejesho ya muda mrefu.
Binafsi nimependa kupewa pesa kwa awamu kupitia mkopo huo kuliko kukopa nyumba na marejesho hadi miaka kumi na tano.
Nimekuja hapa kupata uzoefu waliowahi kupata nyumba kwa utaratibu huu na maoni kwa ujumla kwa wanajukwaa wengine.
Napenda kupata nyumba ikiwa imekamilika kuliko kujenga nusunusu.
Karibu kwa ushauri wenu