pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,710
- 6,372
Hii tabia inanisikitisha inanisononesha inaniumiza na zaidi inanihuzunisha, unakuta mtu anakufata pm mnachonga unarusha ndoano badala ya kukupa jibu huyo anatokomea kusikojulikana baada ya siku mbili anaibuka na Hi.
We nani alikuambia kwamba Hi ni mpaka pm hau haujui nini maana pm (personal messages) huko ni sehemu ya kuongea vitu vya siri kama ni Hi we njoo huku jukwaani unipe Hi ili kila mtu aone sio pm na ukome hasa wewe mwanamke ambae unamfata mtu pm alafu utaki kukubaliana na masharti ya pm.
We nani alikuambia kwamba Hi ni mpaka pm hau haujui nini maana pm (personal messages) huko ni sehemu ya kuongea vitu vya siri kama ni Hi we njoo huku jukwaani unipe Hi ili kila mtu aone sio pm na ukome hasa wewe mwanamke ambae unamfata mtu pm alafu utaki kukubaliana na masharti ya pm.