Kuitwa kwenye usaili PPF

Kuitwa kwenye usaili PPF

PPF mafala nimepoteza muda wangu kuingia kwenye system yao kujaza,leo wanakuja na tangazo la kuita watu woote wande kwenye usahili,yani hawataki hata kujisumbua kushort list??ina maana woote waliotuma maombi wana vigezo??Wapumbavu utaratibu tu wa ajira unaonesha ajira zao ni za kujuana,washaeka watoto wao!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha hasira, hadi kitu cha bure unalalamika
 
Huku ni kuchorana sasa kama si zarau.. Kwa nini wasiwape secretariet ya ajira wafanye huu mchakato si ndo kazi yao.. Natamani vyombo husika walione hili wawashughulikie hawa washenzi.. Wanashindwaje ku shortlist na kuweka majina mtandaoni ili hata mtu kama anatoka mkoani awe na uhakika kwamba ameitwa kwenye usahili.. Sasa hao ma HR wao na viongoz wenye dhamana ya kuajiri wana kazi gani kama hata kushorlist wanashindwa au ndo watu wanajilia mishahara ya bure tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom