Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
PPF mafala nimepoteza muda wangu kuingia kwenye system yao kujaza,leo wanakuja na tangazo la kuita watu woote wande kwenye usahili,yani hawataki hata kujisumbua kushort list??ina maana woote waliotuma maombi wana vigezo??Wapumbavu utaratibu tu wa ajira unaonesha ajira zao ni za kujuana,washaeka watoto wao!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hasira, hadi kitu cha bure unalalamika