Man United
Member
- Sep 30, 2011
- 26
- 5
Ndugu zangu kuna mdogo wangu aliomba nafasi ya kazi ya uhasibu chuo kikuu cha muhimbili,je kuna mtu ameshaitwa kwenye usaili? kwani ni miezi imepita sasa.
Ndugu zangu kuna mdogo wangu aliomba nafasi ya kazi ya uhasibu chuo kikuu cha muhimbili,je kuna mtu ameshaitwa kwenye usaili? kwani ni miezi imepita sasa.
Mkuu yaani Interview ni tar 17 feb,ila binafsi sijaipata hiyo sms ngoja tusubiri
Hata dogo wangu naona katumiwa itakuwa ni kweli!