Kuitwa kwenye usahili TANESCO.

Kuitwa kwenye usahili TANESCO.

Kuna mda Majibu ya yalikuwa zinatoka saa 5 Usiku hahah

Don't tell me kiongozi hiyo si inakuwa labda kama interview inayofuata ina siku mbili au tatu mbele labda.

Lakini hii interview inayofuata ni kesho wakitoa usiku sana kama mtu hujaona inakuaje wanatuma na email kwa kila mtu bro au...?
 
Don't tell me kiongozi hiyo si inakuwa labda kama interview inayofuata ina siku mbili au tatu mbele labda.

Lakini hii interview inayofuata ni kesho wakitoa usiku sana kama mtu hujaona inakuaje wanatuma na email kwa kila mtu bro au...?
Inakuwa imekula kwako mzee inabidi uwe updated wewe mwenyewe.
 
Back
Top Bottom