pipi mti
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 764
- 515
Heshima yenu Wakuu.
Naomba Aliye na taarifa yoyote (rasmi au tetesi) kuhusu hatma ya zile nafasi za TANESCO zilizotangazwa mwezi uliopita, lakini hadi sasa hakuna chochote kinachoendelea katika tovuti ya utumishi kuhusiana na nafasi zile atujulishe.
Nawasilisha.
Naomba Aliye na taarifa yoyote (rasmi au tetesi) kuhusu hatma ya zile nafasi za TANESCO zilizotangazwa mwezi uliopita, lakini hadi sasa hakuna chochote kinachoendelea katika tovuti ya utumishi kuhusiana na nafasi zile atujulishe.
Nawasilisha.