Kuitwa kwenye usahili NSSF

Kuitwa kwenye usahili NSSF

Siyo NSSF hao itakuwa ni Social security regulator SSRA ambaye ndiye anaajiri sasa hivi, ni tofauti kabisa na NSSF.

Please make sure unapoomba ajira ujue huyo unae muomba ni taasisi gani na ana husika na nini ikiwezekana uwe unaingia kwenye website zao kabla hujaenda kwenye Interview.

Check SSRA Social Security Regulatory Authority (SSRA)
 
nimempigia sasa ivi saa saba na dk 20 mchana j2 taree 22
wamesema bado wana sort majina so msijali mambo bado.wasiwadanganye hao kama hauamini ipo recorded call
 
Majina 50 yameteuliwa kwenye kikao kilichokaa bagamoyo alhamisi iliyopita...wataitwa kazinimkwa awamu tatu..kundi la kwanza litaitwa katikati ya March 2015
 
Back
Top Bottom