Jahman85
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 217
- 112
Umemaliza kila kitu mkuu, hizi nafasi nlibonyezwa na mtu kwamba zimetangazwa kuzuga, wengi watachukuliwa kutoka hapo hapo tanesco na kutoka nje na hapo inabidi usage goti sana kwa aliye juu ya vyote. In short mpango mzima ni kuwekana kama kawa.Waonekane ili? Kaka atamwekaje Mdogo wake na Dada atamwitaje kaka yake shangazi je, kuna familia nzima unaweza kuta inafanya kazi huko wanaridhishana tu, na sikuwa hawana vigezo vigezo wanavyo ila ni kuwa baba anampanga mtoto kabisa somea hichi nitakuweka pale!
Na ndivyo ilivyo sehemu nyingi!
Kuna watu wanasoma na wanajua wanakwenda kufanya kazi wapi, sasa kama huna refa aise ni kumuachia Mungu tu itokee bahati na vyeti view konki haswa!