20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jul 14, 2014 #1 Habari wanajamvi Kampuni tajwa hapo juu wamenipigia simu kuniita kwenye interview . Kwa yeyote mwenye taarifa hebu tujuzane
Habari wanajamvi Kampuni tajwa hapo juu wamenipigia simu kuniita kwenye interview . Kwa yeyote mwenye taarifa hebu tujuzane
Aurora JF-Expert Member Joined May 25, 2014 Posts 7,308 Reaction score 5,275 Jul 14, 2014 #2 1. How did u apply the post? 2. wana webste? 3. wana physical address?
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jul 14, 2014 Thread starter #3 Kuna post waliwahi toaga some miezi ago.
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,151 Reaction score 88,841 Jul 14, 2014 #4 Brother unatipigwa. Watu kibao walikua na doubt na hiyo "kampuni tajwa"
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jul 14, 2014 Thread starter #5 Secret Service said: Brother unatipigwa. Watu kibao walikua na doubt na hiyo "kampuni tajwa" Click to expand... Whats ur point mkaka
Secret Service said: Brother unatipigwa. Watu kibao walikua na doubt na hiyo "kampuni tajwa" Click to expand... Whats ur point mkaka
B barazathecyber Member Joined Mar 22, 2014 Posts 5 Reaction score 0 Jul 15, 2014 #6 ... wamenipigia pia, ww umeitwa ufanyie wap na lini?
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jul 15, 2014 Thread starter #7 barazathecyber said: ... wamenipigia pia, ww umeitwa ufanyie wap na lini? Click to expand... Ifm tareh 17 saa saba
barazathecyber said: ... wamenipigia pia, ww umeitwa ufanyie wap na lini? Click to expand... Ifm tareh 17 saa saba
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jul 15, 2014 Thread starter #9 barazathecyber said: Me kesho 5Pm Click to expand... Sawa mkuu utanipa update itavyokuwa basi
sadalla Member Joined Nov 24, 2012 Posts 78 Reaction score 71 Jul 15, 2014 #10 barazathecyber said: Me kesho 5Pm Click to expand... mimi leo saa 7 unusu mchana
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jul 15, 2014 Thread starter #11 sadalla said: mimi leo saa 7 unusu mchana Click to expand... Sawa mkuu utanipa update itavyokuwa basi
sadalla said: mimi leo saa 7 unusu mchana Click to expand... Sawa mkuu utanipa update itavyokuwa basi
akili akili JF-Expert Member Joined May 5, 2014 Posts 1,767 Reaction score 1,155 Jul 15, 2014 #12 Basically kuna mtihanu wa kufanya, una section 3, IQ, Ms Office na Technical, ila maswali ya IQ yamekaa vibaya.
Basically kuna mtihanu wa kufanya, una section 3, IQ, Ms Office na Technical, ila maswali ya IQ yamekaa vibaya.
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jul 15, 2014 Thread starter #13 Masterkey said: Basically kuna mtihanu wa kufanya, una section 3, IQ, Ms Office na Technical, ila maswali ya IQ yamekaa vibaya. Click to expand... Yamekuaj tena
Masterkey said: Basically kuna mtihanu wa kufanya, una section 3, IQ, Ms Office na Technical, ila maswali ya IQ yamekaa vibaya. Click to expand... Yamekuaj tena
akili akili JF-Expert Member Joined May 5, 2014 Posts 1,767 Reaction score 1,155 Jul 15, 2014 #14 Dizain magu fulani hivi, otherwise, mambo mengine kawaida.
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jul 15, 2014 Thread starter #15 Masterkey said: Dizain magu fulani hivi, otherwise, mambo mengine kawaida. Click to expand... Ulivyo piga majibu yakawaje i mean walisemaje
Masterkey said: Dizain magu fulani hivi, otherwise, mambo mengine kawaida. Click to expand... Ulivyo piga majibu yakawaje i mean walisemaje
akili akili JF-Expert Member Joined May 5, 2014 Posts 1,767 Reaction score 1,155 Jul 15, 2014 #16 After 2 weeks
L lazima ukae JF-Expert Member Joined May 15, 2013 Posts 791 Reaction score 417 Jul 15, 2014 #17 Masterkey said: Basically kuna mtihanu wa kufanya, una section 3, IQ, Ms Office na Technical, ila maswali ya IQ yamekaa vibaya. Click to expand... Kweli kabisa ndugu,hasa ile michoro michoro na missing numbers
Masterkey said: Basically kuna mtihanu wa kufanya, una section 3, IQ, Ms Office na Technical, ila maswali ya IQ yamekaa vibaya. Click to expand... Kweli kabisa ndugu,hasa ile michoro michoro na missing numbers
akili akili JF-Expert Member Joined May 5, 2014 Posts 1,767 Reaction score 1,155 Jul 15, 2014 #18 lazima ukae said: Kweli kabisa ndugu,hasa ile michoro michoro na missing numbers Click to expand... Na kile kilugha chao, unaweza jikuta umeclick cancel badala ya submit...hata baadhi ya wasimamizi hawaelewi
lazima ukae said: Kweli kabisa ndugu,hasa ile michoro michoro na missing numbers Click to expand... Na kile kilugha chao, unaweza jikuta umeclick cancel badala ya submit...hata baadhi ya wasimamizi hawaelewi
L lazima ukae JF-Expert Member Joined May 15, 2013 Posts 791 Reaction score 417 Jul 15, 2014 #19 Masterkey said: Na kile kilugha chao, unaweza jikuta umeclick cancel badala ya submit...hata baadhi ya wasimamizi hawaelewi Click to expand... Unajua hawa jamaa ni raia wa vietnam so wameona waweke mule lugha yao,tatizo hatujui wanataka mtu upate ngapi ili upite
Masterkey said: Na kile kilugha chao, unaweza jikuta umeclick cancel badala ya submit...hata baadhi ya wasimamizi hawaelewi Click to expand... Unajua hawa jamaa ni raia wa vietnam so wameona waweke mule lugha yao,tatizo hatujui wanataka mtu upate ngapi ili upite
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jul 15, 2014 Thread starter #20 lazima ukae said: Unajua hawa jamaa ni raia wa vietnam so wameona waweke mule lugha yao,tatizo hatujui wanataka mtu upate ngapi ili upite Click to expand... Bt hao guys wapo real or magumashi?
lazima ukae said: Unajua hawa jamaa ni raia wa vietnam so wameona waweke mule lugha yao,tatizo hatujui wanataka mtu upate ngapi ili upite Click to expand... Bt hao guys wapo real or magumashi?