Kuitwa Interview Viettel

20PROFF

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
8,217
Reaction score
7,255
Habari wanajamvi

Kampuni tajwa hapo juu wamenipigia simu kuniita kwenye interview . Kwa yeyote mwenye taarifa hebu tujuzane
 
1. How did u apply the post?
2. wana webste?
3. wana physical address?
 
Kuna post waliwahi toaga some miezi ago.
 
Brother unatipigwa. Watu kibao walikua na doubt na hiyo "kampuni tajwa"
 
Basically kuna mtihanu wa kufanya, una section 3, IQ, Ms Office na Technical, ila maswali ya IQ yamekaa vibaya.
 
Dizain magu fulani hivi, otherwise, mambo mengine kawaida.
 
Na kile kilugha chao, unaweza jikuta umeclick cancel badala ya submit...hata baadhi ya wasimamizi hawaelewi

Unajua hawa jamaa ni raia wa vietnam so wameona waweke mule lugha yao,tatizo hatujui wanataka mtu upate ngapi ili upite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…