G_Host Member Joined Aug 24, 2017 Posts 16 Reaction score 3 Oct 23, 2017 #1 Habari wandugu, Mm nimeitwa kwenye aptitude test BOT katika post ya Business analysts. Naomba wale wenye uzoefu na hizi test wanipe angalizo zinakuaje ili niweze kujiandaa kikamilifu. Asanteni Mungu awabariki
Habari wandugu, Mm nimeitwa kwenye aptitude test BOT katika post ya Business analysts. Naomba wale wenye uzoefu na hizi test wanipe angalizo zinakuaje ili niweze kujiandaa kikamilifu. Asanteni Mungu awabariki
tang'ana JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 12,054 Reaction score 16,509 Oct 23, 2017 #2 huwa ni hesabu, english na siasa,
mwekundu JF-Expert Member Joined Mar 4, 2013 Posts 22,477 Reaction score 21,025 Oct 23, 2017 #3 Anza kujikumbusha financial analysis ya ratio zote bila kusahau micro¯oeconomics
G_Host Member Joined Aug 24, 2017 Posts 16 Reaction score 3 Oct 24, 2017 Thread starter #4 mwekundu said: Anza kujikumbusha financial analysis ya ratio zote bila kusahau micro¯oeconomics Click to expand... Mkuu hii ni business analyst in IT industry, sidhani kama hayo maswali watatoa kama test.
mwekundu said: Anza kujikumbusha financial analysis ya ratio zote bila kusahau micro¯oeconomics Click to expand... Mkuu hii ni business analyst in IT industry, sidhani kama hayo maswali watatoa kama test.
Hae Mo-Su JF-Expert Member Joined Oct 14, 2017 Posts 474 Reaction score 1,014 Oct 24, 2017 #5 mwekundu said: Anza kujikumbusha financial analysis ya ratio zote bila kusahau micro¯oeconomics Click to expand... hiyo ni IT Swahiba
mwekundu said: Anza kujikumbusha financial analysis ya ratio zote bila kusahau micro¯oeconomics Click to expand... hiyo ni IT Swahiba