Kuitwa Aptitude test BOT.

G_Host

Member
Joined
Aug 24, 2017
Posts
16
Reaction score
3
Habari wandugu,
Mm nimeitwa kwenye aptitude test BOT katika post ya Business analysts. Naomba wale wenye uzoefu na hizi test wanipe angalizo zinakuaje ili niweze kujiandaa kikamilifu. Asanteni Mungu awabariki
 
Anza kujikumbusha financial analysis ya ratio zote bila kusahau micro&macroeconomics
 
Anza kujikumbusha financial analysis ya ratio zote bila kusahau micro&macroeconomics
Mkuu hii ni business analyst in IT industry, sidhani kama hayo maswali watatoa kama test.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…