Kuitoa CCM ni ndoto ya mwendawazimu

Kuitoa CCM ni ndoto ya mwendawazimu

Mimi binafsi namuunga mkono Magufuli kwa sababu kuu mbili.Hana timu itakayosumbua nchi akishinda ana uwezo wa kuwambia marafiki zake hakwenda ikulu kufanya biashara.na mwisho hana mahusiano ya karibu na wafanya biashara wachafu wa nchi hii
 
magufuli hana kituchochote kabebwa na kikwete ulishaona lini mkapa, mwinyi au nyerere anapigia mtu debe sasa ndo ya kikwete hayo. magufuli mwenyewe hajui kuongea, kwenye kampeni utaona ni krambasi


Nyerere alimnadi Mkapa wakati wa kampeni mwaka 1995.
 
Majitu mengine yatajinyonga mwaka huu, subiri 25/10/15. Mtavuliwa nguo maccm
 
ngoja niongeze bisi nkisubiri tar 25 nikamkate mtu
 
Ndoroooooooooooooooooooooobo nyie CCM, mmetunyonya vya kutosha
 
Omera ja kanyakrere angalau we umeuona ukweli, Bahati mbaya waTz wamejaa ushabiki bila hata kupima nani anatufaa.
 
Jiulize kwanza, kwa nnii ulijiunga na cdm? Kama uliamini katika M4C, then umepotea maana change haiwezi kuja kwa kumchagua Magufuli. Huyu ni mtu alnayebebwa na system na system hiyo ndiyo tunataka kuibadili; hivyo kumpigia magufuli ni kuiimarisha hiyo system; then imani yako ya M4C will never come true (Haitaimia kamwe)
Wacha nimpe huyo anayebebwa na unachokiita system kuliko huyu anayebebwa na shetani. Kama hilo ndilo lilikuwa lengo la M4C, basi katika jina la Yesu na lishindwe kabisa.
 
bila shaka utakua n age 30+ ww, endelea kuota ww na wazee wenzako ktk kahawa
 
Lowassa hasira ndio imemhamisha,akipoa atajuta, mbowe anajua wazi cdm haiwezi kushinda ila anacho taka ni wingi wa wabunge ili mshiko uongezeke. Cuf wao wanafata upepo huku bara, nia yao kubwa ni Zanzibar. Zitto bado mwanaharakati na sio mwanasiasa. Wengine wote ni malaya wa kisiasa tu. Sasa jiulize nani wa kuweza kuitoa ccm katika hao, ccm imejipanga kwenye ngazi zote, katiba inawabeba, hela wanayo, vyombo vyote vya usalama ni ccm, wamejijengea mazingira mazuri kwa wazungu. Siasa ya bongo ni pasua kichwa tu.
 
Acha wewe! Anaonge sana tena kwa ku kemia pepo.
magufuli hana kituchochote kabebwa na kikwete ulishaona lini mkapa, mwinyi au nyerere anapigia mtu debe sasa ndo ya kikwete hayo. magufuli mwenyewe hajui kuongea, kwenye kampeni utaona ni krambasi
 
CCM itatoka mapema tu saa 4 asubuhi. Katika haya maisha kila kitu kina mwisho. Labda unataka kusema ccm ndo mungu wa watanzania?
 
Kama ulikuwa hujui subiri kuumbuka na ushabiki wako katika siasa za bongo.

wewe ndio mwendawazimu kwa kushiba uwizi wa escrow huoni mawimbi ya ukawa, mwaka huu hamtaiba kura hata moja mjiandae kwa kipigo cha mtema kuni.
 
Wale waislamu wa zanzibar walioko jera na kesi ya kubambikizwa wewe kama muislam wa ccm unaweza toa ufafanuzi kwa nini ccm zanzibar wamewaonea hao mashehe au wewe ni ccm fata upepo.

Swissme

rais wako ni din gan.???
hana uchungu na waislam wenzie.????. dhambi kuwaza ujinga ujinga
 
Dah watz sijui tumelogwa, hv chama kimeongoza hili taifa tokea tumepata Uhuru (TANU + ASP). Tulipo kiuchumi kila mtu anafahamu, utajiri tulionao kama taifa wote tunaujua, maendeleo yaliyopo kwenye nchi Jirani tu ambazo hawana hata robo ya utajiri wetu tunayafahamu..kweli bado kuna watu wanatamani tuendelee kutawaliwa na watu walewale, fikra zile zile, ndani ya mfumo ule ule??????? Guys tubadilikeni sababu huitaji kuwa na elimu kubwa sana kugundua utawala wa CCM Umeshindwaaaa
 
Ni uwehu kufikiria ukawa kushinda haingii akilini.ccm wataonyesha maajabu mwaka huu
 
Back
Top Bottom