Jamaa wamechoka akili, wanahitaji kupumzika wapate muda wa kutafakari wapi wanapolipeleka raifa, kilichopo sasa ni kama vile wamekata tamaa wanaacha kila kitu kijiendee tu.
Jamaa wamechoka akili, wanahitaji kupumzika wapate muda wa kutafakari wapi wanapolipeleka raifa, kilichopo sasa ni kama vile wamekata tamaa wanaacha kila kitu kijiendee tu.