Kuishinda hofu ya kifo

Ikifika muda leo usiku chant hii mantra kisha kukipambazuka niambie
Hare kshna hare kshna hare hare
Hare rama hare rama, rama rama hare hare

Hare kshna hare kshna hare kshna
Hare rama hare rama hare rama
Krishna krisha hare hare
Rama rama hare hare
 
Kwa mfano gari ikipata ajali bodi ikaharibika kabisa lakini engine ikawa salama hatuwezi kusema engine imeharibika kutokana na bodi hiyo kuharibika ni kuupotosha ukweli.
Kwa mfano huo huo, vipi hakuna ajali nyingine ambazo hupelekea bodi na injini zote kufa na kufanya zisifae tena kitu ambacho kinaweza kutokea kwenye uhai kwamba mwili na roho vyote kupotea?
 
Wanadai muda huu ni muda mzuri sana wa meditation and prayers kwa Dini nyingi Duniani kuliko muda wowote ule.
Kuna ambao wanaita muda wa Muumbaji (Creators time)
Ikifika muda leo usiku chant hii mantra kisha kukipambazuka niambie
Hare kshna hare kshna hare hare
Hare rama hare rama, rama rama hare hare

Hare kshna hare kshna hare kshna
Hare rama hare rama hare rama
Krishna krisha hare hare
Rama rama hare hare
 
Kwa mfano huo huo, vipi hakuna ajari nyingine ambazo hupelekea bodi na injini zote kufa na kufanya zisifae tena kitu ambacho kinaweza kutokea kwenye uhai kwamba mwili na roho vyote kupotea?
Roho haina mipaka ya mahali na muda "not spacial temporal" na ina sifa ya umilele.
Umbile lake ni formless.....just imagine can you destroy formless?.
 
Ikifika muda leo usiku chant hii mantra kisha kukipambazuka niambie
Hare kshna hare kshna hare hare
Hare rama hare rama, rama rama hare hare

Hare kshna hare kshna hare kshna
Hare rama hare rama hare rama
Krishna krisha hare hare
Rama rama hare hare
Mshana umezidi kunitumbukiza kwenye an allegory of the cave...naona hallucinations.
 
Roho haina mipaka ya mahali "not special temporal" na muda na ina sifa ya umilele.
Umbile lake ni formless.....just imagine can you destroy formless?.
Nafahamu roho ina sifa ya umilele ndio maana sijasema kuharibika 'destroyed' , nimesema kupotea, vile vile roho ina mipaka sababu yupo aliyeiumba, yeye ndio hana mipaka!
 
Nafahamu roho ina sifa ya umilele ndio maana sijasema kuharibika 'destroyed' , nimesema kupotea, vile vile roho ina mipaka sababu yupo aliyeiumba, yeye ndio hana mipaka!
Umeelewa lakini nilichoandika?
.....roho haina mipaka ya space and time
kupotea inakuwaje ndugu hapo?..nipo tayari kujifunza kutoka kwako.
 
Nafahamu roho ina sifa ya umilele ndio maana sijasema kuharibika 'destroyed' , nimesema kupotea, vile vile roho ina mipaka sababu yupo aliyeiumba, yeye ndio hana mipaka!

We are ONE, we are all I AM.. Sisi na alietuumba hatuna utofauti, kama yeye hana mipaka na sisi pia hatuna mipaka. Maisha yetu yamejawa na hofu za kila aina na ndio sababu tunashindwa kulitambua hilo.
 
Muda maalumu umekaribia.....
Let us send our vibrations to the cosmos.
 
Mtume anasema theluthi ya mwisho ya usiku Mungu hushuka mpaka katika mbingu ya dunia na husema "nwni anaomba nimpe ".. N.k

Na huu wakati wa mwisho wa usiku uislamu umeaisitiza sana tuombe dua kwa sababu ni zinakuwa zenye kujibiwa mno.
 
Mtume anasema theluthi ya mwisho ya usiku Mungu hushuka mpaka katika mbingu ya dunia na husema "nwni anaomba nimpe ".. N.k

Na huu wakati wa mwisho wa usiku uislamu umeaisitiza sana tuombe dua kwa sababu ni zinakuwa zenye kujibiwa mno.
Karibu
 
Leo nadhani umewahi Mkuu.
 

Hii mambo ya kuaandaana kufa ina cha kufanya na hii mambo ya kunyimana kwa makusudi tu chanjo za gonjwa hili linalo tupukutisha kweri kweri?
 
Hii mambo ya kuaandaana kufa ina cha kufanya na hii mambo ya kunyimana kwa makusudi tu chanjo za gonjwa hili linalo tupukutisha kweri kweri?
Andika tena Mkuu sijakuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…