Wakuu habari za wakati huu.
Naomba maoni yenu juu ya hili swala.
Je, Kuna tatizo lolote Kuishi pamoja kijana wa kiume na wa kike, yaani nazungumzia kuishi kama wanandoa ingawa bado hamjaoana lakini, malengo ya kuoana yapo kati yenu wawili?
NB; Nyumbani kwa kijana wa kiume hawajui kama mtoto wao anaishi na msichana, halikadhalka kwa kijana wa kike hawajui kama mtoto wao anaishi na mvulana.
Naomba maoni yenu juu ya hili swala.
Je, Kuna tatizo lolote Kuishi pamoja kijana wa kiume na wa kike, yaani nazungumzia kuishi kama wanandoa ingawa bado hamjaoana lakini, malengo ya kuoana yapo kati yenu wawili?
NB; Nyumbani kwa kijana wa kiume hawajui kama mtoto wao anaishi na msichana, halikadhalka kwa kijana wa kike hawajui kama mtoto wao anaishi na mvulana.