IJIGHA NDIO HOME
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 748
- 771
Wakuu habari zetu, mimi ni kijana nimeoa takribani miaka miwili iliopita, nashukuru Mungu mwaka huu kajifungua salama.sasa kimbembe nilichokutana nacho alipokuwa mjamzito siji kusahau kuna siku nilitoka kazini nafika tu home namkuta anaanda msosi ile namsalimia tu za kushinda mwenzangu kakausha nikaongea mara ya pili kimya basi nikaondoka nikaenda kujipumzisha. Alipomaliza kupika akala naye kaja kulala hata kuniita msosi tayari hakuna.
Nikaamka nikaenda kula nikarudi kulala kimya kimya kesho yake asubuhi wakati najiandaa kwenda job akasema usiporudi na matunda utahama nyumba hii daa nilipandwa na hasira sikimjibu jioni niliporudi nikamnunulia alivyoagiza nikamletea muda mwingine anatumia amri nikampikie alikuwa mkali acha tu.
Lakini sasa hivi toka ajifungue kawa mpole kama sio yule na mimi nilimwekea tu akijifungua akija kunizingua hasira nimvuluga kweli.
Kama kuna yoyote aliyewahi kukumbwa na kashia kama hii asimulie
Nikaamka nikaenda kula nikarudi kulala kimya kimya kesho yake asubuhi wakati najiandaa kwenda job akasema usiporudi na matunda utahama nyumba hii daa nilipandwa na hasira sikimjibu jioni niliporudi nikamnunulia alivyoagiza nikamletea muda mwingine anatumia amri nikampikie alikuwa mkali acha tu.
Lakini sasa hivi toka ajifungue kawa mpole kama sio yule na mimi nilimwekea tu akijifungua akija kunizingua hasira nimvuluga kweli.
Kama kuna yoyote aliyewahi kukumbwa na kashia kama hii asimulie