Kuishi maisha ya movie

Kuishi maisha ya movie

Yani hadi leo unamuita mtu mahali ili mle kisha umtongoze
masikini sijui ndo unaanzaje " dada nikinywa maji nakuona kwenye glass, silali nakuota"
acha tu ufanyiwe movie kwakweli kama ndo hivo

hahaha!!! shosti namie nimeshangaa. na mdada anakuwa anajua kama anaenda kutongozwa au??? duh.
 
Umaskini wa mawazo ni mbaya tu sio africa kila mahali...
 
Yani hadi leo unamuita mtu mahali ili mle kisha umtongoze
masikini sijui ndo unaanzaje " dada nikinywa maji nakuona kwenye glass, silali nakuota"
acha tu ufanyiwe movie kwakweli kama ndo hivo
aha ahaaaaaa ha ha ha!!!!!!!! mama ya chumvi unachekesha sana aiseee! sio lazima yanipate mimi ila mnawafanyia wengi haya! wewe wanaokutongoza wanakutongozea wapi?
 
The problem.is Every Movie has an Ending...So be real...Maisha ya movie yana mwisho n utaumbuka
 
Mwanaume ndio anayepelekea mtazamo tofauti kwa mwanamke asa kama umeanza na shauzi na kujiweka classic kwanin usiendeleze huo u-classic wako? asa unakuta ulimtoa out mdada classic hapo ndio shidaaaaaa inapoanza.

kama huna uwezo kausha maana nikianza kukupa majukumu sio jambo la kuuliza au labda kama uniambie ulitaka kufanya kama maonyesho ya nanenane kwa siku mbili tatu tu.
 
Cku Zote Ishi Uwezavo,ishi Kulingana Na Uwezo Wako,ucpende Maisha Ya Copy And Pest 7bu Ujui Mwenzako Katumia Njia Gan Kupata, Unachoki0na Kwenye Movie Ci0 Vote Va Kuiga Yule Ni Mtu Anatafuta Pesa Kuptia Taaluma Hyo Nawe Jarbu Kutafuta Kivako,

mkuu...naungana na wewe moja kwa moja...watu wengi siku hizi wameharibiwa na hizi muvi...tamthilia..etc..yaani wao ni ku copy na ku paste maisha...mtu anauza kiwanja ili mradi tu apate ela za ku impress mwanamke...cha kushangaza mahusiano huwa haya dumu...kabisa....nadhani hii imesabibishwa na general life style ya maisha ya sasa ambayo hakuna social interaction kuanzia mtoto anapokua mdogo hadi ukubwani...unakuta madogo wanashinda kwenye tv tangu asubuhi hadi jioni...na akikua unakuta yeye ni smart phone tu the all day....

athari zake ni kama zifutavyo..
muda wa kujumuika na binadamu wenzake unakua haupo..kwahiyo anaishia kua tu a slave to technology....hata kuanzisha casual conversation with females...hajui....

muda wakukua na kuji appreciate yeye kama binadamu haupo tena kwahiyo mtu anabaki kua zombie....story hamna...emotionaly....hakuna engagement yoyote with other humans....

Katika kuishi maisha...kwanza inabidi ujikubali wewe mwenyewe...huhitaji kua na pesa nyingi eti kutongoza...ndo maana nasema hivi NGUVU SIO PESA....
 
mtoto umleavyo ndiy akuavyo..ukienda kimatawi atakuchukulia kam ulivyo and kudemand kutokana na jinsi ulivyo n vice versa z true undr cetarius paribus
 
..wewe ni dume??

yeye ni jike, kwani mkuu wewe hautongozwi na majike? basi kaoge maji ya bahari usafishe nyota.

mwanamke wa kuoa hatongozwi you hit the point na kuweka idea yako mezani kwamba ni nini unachohitaji kwake. sasa akili kumukichwa kama anafanya vetting hii ni juu yake.
 
yeye ni jike, kwani mkuu wewe hautongozwi na majike? basi kaoge maji ya bahari usafishe nyota.

mwanamke wa kuoa hatongozwi you hit the point na kuweka idea yako mezani kwamba ni nini unachohitaji kwake. sasa akili kumukichwa kama anafanya vetting hii ni juu yake.

hahaha..mkuu napenda Sana kutoa sound..
...mambo ya kutongozwa sitaki, tena nakimbia motongozo coz mingine huwwa kama nuksu vile..
 
aha ahaaaaaa ha ha ha!!!!!!!! mama ya chumvi unachekesha sana aiseee! sio lazima yanipate mimi ila mnawafanyia wengi haya! wewe wanaokutongoza wanakutongozea wapi?
Mi huwa nakwepa kutongozwa sipendi....
kama nami nimezimika nampiga chenga tu najikuta tushakuwa wapenzi
 
Back
Top Bottom