kuishi kwa fumbo huenda kukakusababishia matokeo fulani!

KENZY

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
32,213
75,723
kondom.jpg
 
Una maana gan kwenye hilo
nina maana hii

kutokana na kuishi kwa kutumia kondom,kutumia huko kondom ndio matokeo ya kukosa dawa ya ukimwi au kutokujua kuwa unaefanyanae mapenzi ni mgonjwa au lah! hivyo unaamua kutumia kondom kwasababu kwako ni fumbo yani hujui!

hii pia hata ukijichunguza vizuri unakuta kuna matendo ambayo unayatenda au kuna namna unaishi lkn kumbe hiyo namna unavyotenda au kuishi ni kutokana na fumbo fulani ambalo either unalitambua ila umeshindwa kulitatua ama hulitambui kbs.

So kwahiyo matokeo yanayotokea sasa hapa duniani(namna ambavyo tunaishi vita,umaskini,utajili,wema,ubaya,dini,siasa n.k) huenda hayo yakawa ni matokeo ya fumbo tusilolijua!.
 
nina maana hii

kutokana na kuishi kwa kutumia kondom,kutumia huko kondom ndio matokeo ya kukosa dawa ya ukimwi au kutokujua kuwa unaefanyanae mapenzi ni mgonjwa au lah! hivyo unaamua kutumia kondom kwasababu kwako ni fumbo yani hujui!

hii pia hata ukijichunguza vizuri unakuta kuna matendo ambayo unayatenda au kuna namna unaishi lkn kumbe hiyo namna unavyotenda au kuishi ni kutokana na fumbo fulani ambalo either unalitambua ila umeshindwa kulitatua ama hulitambui kbs.

So kwahiyo matokeo yanayotokea sasa hapa duniani(namna ambavyo tunaishi vita,umaskini,utajili,wema,ubaya,dini,siasa n.k) huenda hayo yakawa ni matokeo ya fumbo tusilolijua!.
Hapo nimekuelewa, hata me hilo jambo limekuwa likinifikirisha kwa mda sasa.
 
nina maana hii

kutokana na kuishi kwa kutumia kondom,kutumia huko kondom ndio matokeo ya kukosa dawa ya ukimwi au kutokujua kuwa unaefanyanae mapenzi ni mgonjwa au lah! hivyo unaamua kutumia kondom kwasababu kwako ni fumbo yani hujui!

hii pia hata ukijichunguza vizuri unakuta kuna matendo ambayo unayatenda au kuna namna unaishi lkn kumbe hiyo namna unavyotenda au kuishi ni kutokana na fumbo fulani ambalo either unalitambua ila umeshindwa kulitatua ama hulitambui kbs.

So kwahiyo matokeo yanayotokea sasa hapa duniani(namna ambavyo tunaishi vita,umaskini,utajili,wema,ubaya,dini,siasa n.k) huenda hayo yakawa ni matokeo ya fumbo tusilolijua!.
we are not living of what we want,but what we are afraid of.
 
nina maana hii

kutokana na kuishi kwa kutumia kondom,kutumia huko kondom ndio matokeo ya kukosa dawa ya ukimwi au kutokujua kuwa unaefanyanae mapenzi ni mgonjwa au lah! hivyo unaamua kutumia kondom kwasababu kwako ni fumbo yani hujui!

hii pia hata ukijichunguza vizuri unakuta kuna matendo ambayo unayatenda au kuna namna unaishi lkn kumbe hiyo namna unavyotenda au kuishi ni kutokana na fumbo fulani ambalo either unalitambua ila umeshindwa kulitatua ama hulitambui kbs.

So kwahiyo matokeo yanayotokea sasa hapa duniani(namna ambavyo tunaishi vita,umaskini,utajili,wema,ubaya,dini,siasa n.k) huenda hayo yakawa ni matokeo ya fumbo tusilolijua!.
Uko vizuri mkuu
 
we are not living of what we want,but what we are afraid of.
kwa mustakabari huo kwahiyo watu wanaoamini ktk mungu.. wanaishi kwa kumuabudu mungu kwasababu wanamuogopa shetani..?
 
kwa mustakabari huo kwahiyo watu wanaoamini ktk mungu.. wanaishi kwa kumuabudu mungu kwasababu wanamuogopa shetani..?
Sina hakika,but mtu anaweza akajichunguza kwa kitu anafany atafahamu anaish kw upande upi hapo.
 
Back
Top Bottom