kuishi kwa dada si mbaya kama unaishi pale ili ujipange kuwa na kwako..Tatizo linakuja pale mtu anapoishi kwa dada, na yeye anajichulia kama mtoto wa pale aliyechekechea, hana wazo la kutafuta maisha yake, yaani yeye sahani ya chakula na kubaki home anasimamia mahausi girl wa mtaa.Kwa wakaka mnaokaa kwa dada zenu, muwe mnajiongeza kupata akili ya kujitegemea.