Wakuu,
Haya mambo mimi siyajui lakini tumeanikwa na hatuna namna tena. Hivi kweli Djibout ambae naona hatupo nae EAC wala SADC ndio tumpigie kura yaani tumeshindwa mawazo hadi na Burundi? Kweli diplomasia yetu iko mashakani na imeanguka.
Binafsi sijaona sababu ya sisi kwenda kinyume na jumuia yetu ya Afrika mashariki hii si sawa kwa ujirani hata kama tuna ugomvi nao tusingepeleka kuaibika huko, hatukumpigia kura na ameshinda kwa kura nyingi hii ni aibu kubwa.
Tutaruka ruka lakini tumetia aibu na kuisaliti EAC.
Haya mambo mimi siyajui lakini tumeanikwa na hatuna namna tena. Hivi kweli Djibout ambae naona hatupo nae EAC wala SADC ndio tumpigie kura yaani tumeshindwa mawazo hadi na Burundi? Kweli diplomasia yetu iko mashakani na imeanguka.
Binafsi sijaona sababu ya sisi kwenda kinyume na jumuia yetu ya Afrika mashariki hii si sawa kwa ujirani hata kama tuna ugomvi nao tusingepeleka kuaibika huko, hatukumpigia kura na ameshinda kwa kura nyingi hii ni aibu kubwa.
Tutaruka ruka lakini tumetia aibu na kuisaliti EAC.