Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,114
- 2,489
Salaaam, poleni na swaumu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.. Naomba kufahamishwa namna yakuipata simu ya IPHONE iliyoibiwa, mbinu zitumikazo kujua simu ilipo hadi kuipata.
Natanguliza shukran
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.. Naomba kufahamishwa namna yakuipata simu ya IPHONE iliyoibiwa, mbinu zitumikazo kujua simu ilipo hadi kuipata.
Natanguliza shukran