Kuinusuru Simba SC, inapaswa kuundwa kamati ya mpito!

MTAZAMO

JF-Expert Member
Feb 8, 2011
19,644
33,445
Wakuu,

Kwa ufupi ili kuinusuru hii timu ni muhimu haraka sana iundwe kamati ya mpito kusimamia timu kumaliza ligi kwa heshima. Kamati ndogo itayofanya kazi na muwekezaji kwa karibu pamoja na benchi la ufundi. Hii kamati iundwe na wachezaji wa zamani wa Simba na viongozi wenye heshima kwenye mpira wetu.

Hiyo kamati baada ya ligi watoe ripoti juu ya uendeshaji wa club kwa wanachama na jamii kwa ujumla ili ifahamike msingi wa tatizo la Simba SC. Baada ya hapo iundwe kamati nyingine itayokuja na mapendekezo ya kuboresha katiba na uendeshaji wa club yetu.

Wanachama na mashabiki tumieni nafasi yenu kushinikiza kujua uendeshaji wa club baada ya matokeo mabovu mfululizo na dalili mbaya ya uzembe kiuongozi na uwekezaji kwa ujumla.
 
Wakuu,

Kwa ufupi ili kuinusuru hii timu ni muhimu haraka sana iundwe kamati ya mpito kusimamia timu kumaliza ligi kwa heshima. Kamati ndogo itayofanya kazi na muwekezaji kwa karibu pamoja na benchi la ufundi. Hii kamati iundwe na wachezaji wa zamani wa Simba na viongozi wenye heshima kwenye mpira wetu.

Hiyo kamati baada ya ligi watoe ripoti juu ya uendeshaji wa club kwa wanachama na jamii kwa ujumla ili ifahamike msingi wa tatizo la Simba SC. Baada ya hapo iundwe kamati nyingine itayokuja na mapendekezo ya kuboresha katiba na uendeshaji wa club yetu.

Wanachama na mashabiki tumieni nafasi yenu kushinikiza kujua uendeshaji wa club baada ya matokeo mabovu mfululizo na dalili mbaya ya uzembe kiuongozi na uwekezaji kwa ujumla.
Katiba yenu inasemaje kusuhusu kamati km hiyo
 
Wakuu,

Kwa ufupi ili kuinusuru hii timu ni muhimu haraka sana iundwe kamati ya mpito kusimamia timu kumaliza ligi kwa heshima. Kamati ndogo itayofanya kazi na muwekezaji kwa karibu pamoja na benchi la ufundi. Hii kamati iundwe na wachezaji wa zamani wa Simba na viongozi wenye heshima kwenye mpira wetu.

Hiyo kamati baada ya ligi watoe ripoti juu ya uendeshaji wa club kwa wanachama na jamii kwa ujumla ili ifahamike msingi wa tatizo la Simba SC. Baada ya hapo iundwe kamati nyingine itayokuja na mapendekezo ya kuboresha katiba na uendeshaji wa club yetu.

Wanachama na mashabiki tumieni nafasi yenu kushinikiza kujua uendeshaji wa club baada ya matokeo mabovu mfululizo na dalili mbaya ya uzembe kiuongozi na uwekezaji kwa ujumla.

Mpito au mpenyo Wa Kuelekea wapi?

Vipindi Kama hivi hutokea hata Kwa giants kama Barca...Lkn Mashabiki bado hubaki kuisupport Timu Yao.

Sasa huku Kila Siku kuwakatisha tamaa Wachezaji. Ndo maana Liverpool Mashabiki Wana slogan yao 'You will never walk alone'
 
Wakuu,

Kwa ufupi ili kuinusuru hii timu ni muhimu haraka sana iundwe kamati ya mpito kusimamia timu kumaliza ligi kwa heshima. Kamati ndogo itayofanya kazi na muwekezaji kwa karibu pamoja na benchi la ufundi. Hii kamati iundwe na wachezaji wa zamani wa Simba na viongozi wenye heshima kwenye mpira wetu.

Hiyo kamati baada ya ligi watoe ripoti juu ya uendeshaji wa club kwa wanachama na jamii kwa ujumla ili ifahamike msingi wa tatizo la Simba SC. Baada ya hapo iundwe kamati nyingine itayokuja na mapendekezo ya kuboresha katiba na uendeshaji wa club yetu.

Wanachama na mashabiki tumieni nafasi yenu kushinikiza kujua uendeshaji wa club baada ya matokeo mabovu mfululizo na dalili mbaya ya uzembe kiuongozi na uwekezaji kwa ujumla.
Timu ya Thiiimbaaaa ni ya Mwamedi kanjibai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom