habari wakuu, mimi ni mwajiriwa mpya katika halimashauri ila bado sijapata check number lakini details zangu zimeshatumwa hazina, katika cheti changu cha kuzaliwa jina langu limekosewa herufi moja kwa hiyo lipo tofauti na vyeti vya elimu kwa herufi moja. SWALI JE HII INAWEZA FANYA NISHINDWE KUINGIA KWENYE SYSTEM.
ASANTENI SANA.
ASANTENI SANA.