Unawezaje kujadili jambo ambalo halina ukweli?
Ukiona halina ukweli, si unalipotezea tu? kwani kuna ulazima wa kulijadili.....!? Au lazima kila linalowekwa hapa tucomment!
Unawezaje kujadili jambo ambalo halina ukweli?
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa jamani leo tokea asubuhi nmekua mchekaji tu jf kuna watu cjui wamevuta ndumuuu
Jibu swali kama ulivyo ulizwa, baba ako akikuuliza umekula?jibu nimekula au sijakula.sasa kwa akili zako na wewe utauliza amepika nan?
Ukiona halina ukweli, si unalipotezea tu? kwani kuna ulazima wa kulijadili.....!? Au lazima kila linalowekwa hapa tucomment!
Unawezaje kujadili jambo ambalo halina ukweli?
na ww mbona hujajibu aliyokuuliza?
Sasa naona wanishangaza...
Mwanzoni msimamo wako ulikuwa kwamba mjadala unaweza kufanyika hata kwa jambo lisilo na ukweli...
Lakini sasa hivi unabadilika tena na kudai jambo lisilo na ukweli unalipotezea, kwa mantiki hiyo halihitaji mjadala...
Unaona unavyojichanganya sasa???
sio kwamba wamevuta ila utambue hapa dunian kila binadamu ni kichaa, ila sasa vichaa vmetofautiana na huwa vina mda wake wa kupanda na kutulia,. Kichaa cha mtu flan kinapotulia ndio unaona anakuwa mpole na mtulivu ila kinapolipuka ndio utaanza kushangaa hata flan anafanya hivi?!
Kama ww juzi kwenye thread ya jamaaa flan nikagundua hapa tayar
Unatakiwa ujibu viingia au visiingie majibu yaambatane na sababu,kwel wabongo hawajui kujibu maswali.