Kuingia kwa machine za kufanyia mapenzi

Kuingia kwa machine za kufanyia mapenzi

Jembemtaji

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2014
Posts
1,192
Reaction score
928
Hellow,kuna taharifa nimezipa kua kuna kampuni kadhaa zimeomba kuingiza vifaa mbalimbali za kuliwaza kuchukua nafasi ya wenza kwa wasiokua nao.
Machine izo ni kubwa zenye shepu mbalimbali za kike na zakiume yaan tofauti ni ndogo sana na maumbile ya me au ke.kwenye machine izo unaweza kuweka joto unalolihitaji,milio yoyote unayoitaka mtumiaji.makampuni ni ya Japan na France vifaa ivyo ni matoleo mapya kabisa na Africa viko south Africa tu.
Sasa nataka mawazo yko je kampuni hizi zipewe kibali cha kuuza vitu ivo au wasipewe, utoe na sababu kutokana na jibu lako.
 
Hellow,kuna taharifa nimezipa kua kuna kampuni kadhaa zimeomba kuingiza vifaa mbalimbali za kuliwaza kuchukua nafasi ya wenza kwa wasiokua nao.

Hizo taarifa umezipata toka kwa nani na kwa nini maswali yako usingeuliza toka kwa aliyekupa taarifa?

Hizo kampuni ni zipi na zimeomba kibali toka kwa nani?

makampuni ni ya Japan na France vifaa ivyo ni matoleo mapya kabisa na Africa viko south Africa tu.

Majina ya hayo makampuni tafadhali?


Sasa nataka mawazo yko je kampuni hizi zipewe kibali cha kuuza vitu ivo au wasipewe, utoe na sababu kutokana na jibu lako.

Jibu kwanza maswali hapo juu, sio kutuletea mada za vijiweni hapa
 
Akiamka aje na majibu,habari kama imla.
 
Hizo taarifa umezipata toka kwa nani na kwa nini maswali yako usingeuliza toka kwa aliyekupa taarifa?

Hizo kampuni ni zipi na zimeomba kibali toka kwa nani?



Majina ya hayo makampuni tafadhali?




Jibu kwanza maswali hapo juu, sio kutuletea mada za vijiweni hapa

We ubongo wako unamatundu kama chujio unajua maana ya tetesi?
 
Hizo taarifa umezipata toka kwa nani na kwa nini maswali yako usingeuliza toka kwa aliyekupa taarifa?

Hizo kampuni ni zipi na zimeomba kibali toka kwa nani?



Majina ya hayo makampuni tafadhali?




Jibu kwanza maswali hapo juu, sio kutuletea mada za vijiweni hapa

Hahaaaaaaz mkuu eti umeambiwa akili zako kama chujiooo Dinazarde embuu njoo na hukuu uchekee
 
Last edited by a moderator:
Huyu mtu pori kavamia msitu wa jeshi, na adhabu yake ni kumchamba kwa risasi

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa jamani leo tokea asubuhi nmekua mchekaji tu jf kuna watu cjui wamevuta ndumuuu
 
Huyu mtu pori kavamia msitu wa jeshi, na adhabu yake ni kumchamba kwa risasi

Jibu swali kama ulivyo ulizwa, baba ako akikuuliza umekula?jibu nimekula au sijakula.sasa kwa akili zako na wewe utauliza amepika nan?
 
Asante kwa "taharifa" ..... wamekamata fursa tu




Hellow,kuna taharifa nimezipa kua kuna kampuni kadhaa zimeomba kuingiza vifaa mbalimbali za kuliwaza kuchukua nafasi ya wenza kwa wasiokua nao.
Machine izo ni kubwa zenye shepu mbalimbali za kike na zakiume yaan tofauti ni ndogo sana na maumbile ya me au ke.kwenye machine izo unaweza kuweka joto unalolihitaji,milio yoyote unayoitaka mtumiaji.makampuni ni ya Japan na France vifaa ivyo ni matoleo mapya kabisa na Africa viko south Africa tu.
Sasa nataka mawazo yko je kampuni hizi zipewe kibali cha kuuza vitu ivo au wasipewe, utoe na sababu kutokana na jibu lako.
 
Hahahaaa tumetumia lugha ya kigeni (new alert)

JF haina kitu kinachoitwa "new alert" bali kuna "News Alert"...

Zaidi ya hilo 'news alert' si tetesi bali ni taarifa iliyohakikiwa itolewayo kwa hadhira...

Kama ingelikuwa ni tetesi JF bado inakupa nafasi ya kutumia neno tetesi kama ulivyotumia 'news alert'...
 
JF haina kitu kinachoitwa "new alert" bali kuna "News Alert"...

Zaidi ya hilo 'news alert' si tetesi bali ni taarifa iliyohakikiwa itolewayo kwa hadhira...

Kama ingelikuwa ni tetesi JF bado inakupa nafasi ya kutumia neno tetesi kama ulivyotumia 'news alert'...

Kwa iyo unaenda police kuomba kibali cha kuandamana au?
 
Hayo makapuni wamekutuma ukawaulizie hayo maswali?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom