Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,192
- 928
Hellow,kuna taharifa nimezipa kua kuna kampuni kadhaa zimeomba kuingiza vifaa mbalimbali za kuliwaza kuchukua nafasi ya wenza kwa wasiokua nao.
Machine izo ni kubwa zenye shepu mbalimbali za kike na zakiume yaan tofauti ni ndogo sana na maumbile ya me au ke.kwenye machine izo unaweza kuweka joto unalolihitaji,milio yoyote unayoitaka mtumiaji.makampuni ni ya Japan na France vifaa ivyo ni matoleo mapya kabisa na Africa viko south Africa tu.
Sasa nataka mawazo yko je kampuni hizi zipewe kibali cha kuuza vitu ivo au wasipewe, utoe na sababu kutokana na jibu lako.
Machine izo ni kubwa zenye shepu mbalimbali za kike na zakiume yaan tofauti ni ndogo sana na maumbile ya me au ke.kwenye machine izo unaweza kuweka joto unalolihitaji,milio yoyote unayoitaka mtumiaji.makampuni ni ya Japan na France vifaa ivyo ni matoleo mapya kabisa na Africa viko south Africa tu.
Sasa nataka mawazo yko je kampuni hizi zipewe kibali cha kuuza vitu ivo au wasipewe, utoe na sababu kutokana na jibu lako.