Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Maendeleo ya nchi ni kama ujenzi wa nyumba. Ukipata fundi mzuri, unaweza kupata nyumba nzuri.
Bahati mbaya sana, Tanzania tumempa kazi fundi Maiko. Fundi mkuu ni yeye na wasaidizi wake anawaona kama vinyago tu.
Kujenga ni yeye. Kibarua ni yeye. Budget ya ujenzi haina maana kwake. Kujenga tofali anajua. Kuweka umeme yupo. Kuweka mabomba yupo. Kuweka tiles yupo. Kupaua yupo.
Aliikuta kwenye kozi nne. Sasa hivi bado yupo kozi ya tatu. Maana alianza upya eti mafundi watangulizi waliharibu na kuiba sana.
Itakuwa sio nyumba ni kituko na komedi.
Bahati mbaya sana, Tanzania tumempa kazi fundi Maiko. Fundi mkuu ni yeye na wasaidizi wake anawaona kama vinyago tu.
Kujenga ni yeye. Kibarua ni yeye. Budget ya ujenzi haina maana kwake. Kujenga tofali anajua. Kuweka umeme yupo. Kuweka mabomba yupo. Kuweka tiles yupo. Kupaua yupo.
Aliikuta kwenye kozi nne. Sasa hivi bado yupo kozi ya tatu. Maana alianza upya eti mafundi watangulizi waliharibu na kuiba sana.
Itakuwa sio nyumba ni kituko na komedi.